Young Lunya kapigwa za uso na Young Killer

Young Lunya kapigwa za uso na Young Killer

Ukila loss usiteme aliyesema life is too short,hakuongelea umeme...
MSODOOKI..
 
Kweli nimezeeka, hata sielewi nini kinaendelea hapa! [emoji1787]
 
Killer ni mtu hatari.
Jivike vyeo Ili wenye vyeo wakuone bwege.....nayokupa Leo sio kimeo kama rasta za chenge.....demu kusini mlaze mawio mchanue matege....ni YOUNG KILLER mjenzi nisiyo ilaza zege haaahaaa![emoji119]
 
Daaaaaaah Young Lunya sio wa mchezomchezo.

Dodoki limepanic.
 
Jivike vyeo Ili wenye vyeo wakuone bwege.....nayokupa Leo sio kimeo kama rasta za chenge.....demu kusini mlaze mawio mchanue matege....ni YOUNG KILLER mjenzi nisiyo ilaza zege haaahaaa![emoji119]
umenikumbusha mbali sana mzazi hebu nitajie jina la hii ngoma ahahahhhhhhhhh.......
 
Zimepita siku 5 baada ya Young Lunya kuachia ngoma yake mpya ya freestyle session 5, wimbo huo kwa asilimia kubwa amemdiss Rapa Young Killer. Young Killer nae baada ya kupita siku 3 akajibu mapigo kwenye diss track aliyo ipa jina la freestyle session 6.

Killer kwenye diss track kamchana ile mbaya Lunya, nimeona jana wasafi wanamuuliza kama atajibu mapigo lakini kagoma. Kumdiss Killer kwenye track ni kujitafutia matatizo tu.

Sikiliza hapa hilo dude

Hii diss track iko chini ya kiwango japo mi team killer lakini hajanikosha karudia mashairi yaani ni kama alikurupuka au sikuhizi ameshindwa kufikiri.... kuna ngoma mtu anakudiss hadi kupita mtaani unaona aibu... [emoji1787]
moja ya disstrack kali hapa bongo ni USIULIZE ya Rado kwa Fid Q, pia NEEMA WA MITEGO ya Nikki Mbishi kwa Ney na kubwa kuliko zote ni FUTI SITA ya p the mc kwa Nikki mbishi duh... P the mc ndo baba wa disstrack hapa Bongo
 
Young lunya kuna kitu hakiko sawa..
Anakosa flavour hivi..
Killer tushamzoea style yake na mistari yake iko sawa
 
Mwambie ajichanganye kwa Killer
Hii diss track iko chini ya kiwango japo mi team killer lakini hajanikosha karudia mashairi yaani ni kama alikurupuka au sikuhizi ameshindwa kufikiri.... kuna ngoma mtu anakudiss hadi kupita mtaani unaona aibu... [emoji1787]
moja ya disstrack kali hapa bongo ni USIULIZE ya Rado kwa Fid Q, pia NEEMA WA MITEGO ya Nikki Mbishi kwa Ney na kubwa kuliko zote ni FUTI SITA ya p the mc kwa Nikki mbishi duh... P the mc ndo baba wa disstrack hapa Bongo
 
Back
Top Bottom