donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,076
- 21,552
- Thread starter
- #61
Unajua problem ya kizazi cha sasa ni kwamba sh*t is too modernized. Naona hata marapa wenyewe wanasifiwa ukali ila sioni ukali wao sijui JuiCeWrD kina Young boy NBA, blue face etc. Creativity naona kama hamna, hebu take back yourself back in days halafu niambie ndio uko umetulia unasikiliza ngoma kama G - Code ya geto boys, au ngoma kama Triumph ya Wu Tang ClanKwa kizazi Cha Sasa au