Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 48,323
- 115,323
Yanga inatarajiwa kwenda Zambia Septemba 23 kuweka kambi ya siku tano kuelekea mchezo wa marudiano ligi ya mabingwa dhidi ya Zesco ambao utapigwa Septemba 28
Mwakalebela ndiye aliyeongoza msafara wa Yanga Botswana, akihakikisha timu inakuwa na mazingira mazuri ya maandalizi wakati wote waliokuwa nchini humo
Kwa sasa Yanga inaendelea kujifua jijini Dar es salaam kujiandaa na mchezo huo ambao matokeo ya ushindi yatawapa nafasi ya kutinga hatua ya makundi.
Yangadaima27