Sesten Zakazaka
JF-Expert Member
- Sep 10, 2017
- 10,561
- 19,056
Shadeeya itafika mahali mtaona huyo kocha anazingua na nyie wenyewe mtaanza kumshikia bakora na kumuonyesha mlango wa kutokea. Nitarudi tena siku zijazo kukukumbusha hili panapo majaaliwa ikiwa utakua umesahauKocha wa klabu ya Yanga, Mwinyi Zahera amekusudia kuwaziba midomo wanaobeza kikosi chake huku akidai kuwa watawatoa Zesco United, kwenye mchezo wa marudiano wa Klabu bingwa barani Afrika utakachezwa katika jiji la Ndola nchini Zambia.