Acha kukata tamaa mapema hvNdo basi tena, tujipange mwakani.
Rubbish, hata ulichokiandika hakieleweki, unajaza ujinga tu hapaNaskia kelele upande wa pili wakidai kuwa wao ndo mabingwa,sasa awajui kuwa iyo ni kitanzi apo baadae watakapo kutana tena marudianouko kwao,sasa moto watakao pelekewa uko kwao watajuta,namshauli Kocha wao ajitahidi kuipa mazoezi ya kutosha na kuangali mapungufu yapo wapi wayatatue.
MWINYI ZAHERA NGUVU MOHA.
??!?!Naskia kelele upande wa pili wakidai kuwa wao ndo mabingwa,sasa awajui kuwa iyo ni kitanzi apo baadae watakapo kutana tena marudianouko kwao,sasa moto watakao pelekewa uko kwao watajuta,namshauli Kocha wao ajitahidi kuipa mazoezi ya kutosha na kuangali mapungufu yapo wapi wayatatue.
MWINYI ZAHERA NGUVU MOHA.
Yanayoendelea pale Yanga yanachefua,yanakasilisha na kuhuzunisha. Inakueje viongozi wanaacha kuwalipa tena kwa maksudi wachezaji wakongwe walioipambania timu katika mazingira magumu kabsa ya msimu uliopita? Nani asiye jua uwezo wa Yondani na Juma Abdul?Km hawa wachezaji wangekuepo nina imani kuna kitu jana kingebadirika. Baada ya Boxer kuumia aliingia Ali Ali ambaye kupiga chenga na krosi ilikua tatizo kubwa , hii yote sababu ya kumkosa Juma Abdul.Viongozi mpompo tuu,mmeshindwa kuwahamasisha mashabiki kuja uwanjani aaafu baadae muanze kulia lia hamna hela ya kuendeshea timu!! Juzi kwenye mechi na Kaliobangi baada ya mechi mlianza kulia lia etii ooh tumeibiwa swali ni je wkt mnaibiwa nyie mlikua wapi km hao wezi hamshirikiani? Kwa ujumla mmesha feli na kwa jinsi ninavyowafahamu mashabiki wa Yanga mkitolewa tu Namibia hamuwaoni tena uwanjani.
ally ally mbona alicheza vzr sana, kwa upande wa mabeki jana walicheza vzr tatizo liko kwenye umaliziaji
NB.si wachezaji wa zamani yeyote mwenye madai wajitahidi wamlipe maana mpira ndio kazi yao.
Kwa viongozi sio sana , mimi na wasiwasi na mwinyi zahera . Sijaona uwezo wake kama great tactician kuanzia usajili, kupanga timu mpaka maelekezo wakati wa mchezo . Naona msimu uliopita ilikuwa juhudi za wachezaji kwa asilimia 95% asilimia 5% ni za uhamasishaji kutoka kwa Zahera sio mbinu. Jamaa ni muongeaji sana kuliko kuleta matokeo, halafu hana nidhamu ya kazi. Timu imefanya maandalizi morogoro kwa muda mrefu na kocha msaidizi yeye yuko ufaransa ni Bora juzi kocha msaidizi angeongoza timu aliyoanza nayo. Akiulizwa atasema nilikuwa kwenye majukumu ya timu ya Kongo , timu yenyewe haikufika kokote afcon. Timu ikitolewa Botswana asirudi bongo aunganishe Lubumbashi au Paris . Bora mkwasa arudi au babu hans pluimj
Nawewe unaamini kama mikia kwamba tutatolewa kyle Gabelone? Tunza komenti yako. Kwa yanga hii ata simba atapigwa nje ndani mark my words.Kwa viongozi sio sana , mimi na wasiwasi na mwinyi zahera . Sijaona uwezo wake kama great tactician kuanzia usajili, kupanga timu mpaka maelekezo wakati wa mchezo . Naona msimu uliopita ilikuwa juhudi za wachezaji kwa asilimia 95% asilimia 5% ni za uhamasishaji kutoka kwa Zahera sio mbinu. Jamaa ni muongeaji sana kuliko kuleta matokeo, halafu hana nidhamu ya kazi. Timu imefanya maandalizi morogoro kwa muda mrefu na kocha msaidizi yeye yuko ufaransa ni Bora juzi kocha msaidizi angeongoza timu aliyoanza nayo. Akiulizwa atasema nilikuwa kwenye majukumu ya timu ya Kongo , timu yenyewe haikufika kokote afcon. Timu ikitolewa Botswana asirudi bongo aunganishe Lubumbashi au Paris . Bora mkwasa arudi au babu hans pluimj