You left me but remember

You left me but remember

Pamoja na kuficha ficha mengi hapa JF na wakati mwingine tujijitengenezea wake feki kwa majina ya mama bhooke and likely, leo hii nina miaka ishirini na tisa,miezi minne na siku tano,najiuliza nitaanzia wapi tena kupenda...nawezana tena na ooh baby,ooh baby za kishule shule? Eventually no,vije nikimpata aliyekwisha kuwa kwenye mahusiano ni itakuwa ni mwendo wa kucompare siku zote? Maana however atafanya nitakuwa najaribu kulinganisha na alivyofanya Rose wangu kitu ambacho kitaweza kumkosesha raha then GF wangu mpya!
Time is the best healer when it comes to broken hearts.
Give yourself sometime and dont rush into any cryz relationship or lager to forget.
 
Mkuu je ni kweli umeiba hii kitu sio original work of yours? Ebu fafanua maana plagiarism ni wizi

Zamani kabla ya ukoloni nadhani watu walikuwa wanatumia mikono kula (kwa maana hapakuwepo vijiko)
Usafiri ulikuwa wa miguu na ama kutumia wanyama kama punda na ngamia... Wazungu pamoja na mambo mengine wametuletea vijiko,tukaiga toka kwao sanaa ya kula kwa kutumia kijiko, na tukaenda mbali zaidi kwa kuacha kupenda farasi na kuanza kutumia magari na leo tunatofautiana na hawa mabwana kwa ngozi tu kwa maana hata style ya kupinda midomo wakati wa kuongea naona vijana wamechukua kwa kina Eminem... Kwa muktadha huu wapandishwe kizimbani wote waliotangulia kufanya mambo kwa mtazamo wa umagharibi kisha uje kwa wenye controversial optimism...
 
relationships are like glasses its better 2 leave them broken than hurting urself putting it back together! move on n one day u will say she wasn't the one!!
 
Mkuu je ni kweli umeiba hii kitu sio original work of yours? Ebu fafanua maana plagiarism ni wizi

Ni kweli kaitoa sehemu na hakusema alipoitoa hivyo kutoa taswira kwamba kaiandika yeye kumbe wapi, si yeye.
 
relationships are like glasses its better 2 leave them broken than hurting urself putting it back together! move on n one day u will say she wasn't the one!!

Babu aliwahi kuniambia kuwa Mwanamke hana dini wala kabila (dont quote me wrong) kwa muktadha huu ukisema nitakuja kurealize kwamba hakuwa wangu it means kuna aliye mahususi kwa ajili yangu dhana nayiipinga though sibadilishi dhana hiyo iwatoke wanaoamini kama wewe!
 
Wanadamu kwa wivu bwana...ndiyo maana tukifa tunasahau hata kufunga macho!

Wivu wa nini wakati maandiko yenyewe ya kuiba?

Kuwa mkweli, sema ulipoyatoa. Kuyaweka na kuyawasilisha hapa kama vile ni yako wakati unajua fika si yako si vizuri na si uungwana huo.
 
Ni kweli kaitoa sehemu na hakusema alipoitoa hivyo kutoa taswira kwamba kaiandika yeye kumbe wapi, si yeye.

yes amekopi but it match wit some events in his real life situation hvo akaona nivema atumie hayo maneno kufikisha ujumbe!! mbona madem zenu wakija geto mwanzomwisho mnawawekea nyimbo waloimba wenzenu?? mngekua mnawapa freestyle zenu basi kama isngekua comedy!! nyooooooo
 
yes amekopi but it match wit some events in his real life situation hvo akaona nivema atumie hayo maneno kufikisha ujumbe!! mbona madem zenu wakija geto mwanzomwisho mnawawekea nyimbo waloimba wenzenu?? mngekua mnawapa freestyle zenu basi kama isngekua comedy!! nyooooooo

Kukopi maandiko ya wengine hakukatazwi. Lakini, ili kutowahadaa wengine kudhani kwamba umeandika wewe, kutoa angalizo kwamba wewe siye mwandishi ni uungwana.

Ni kiasi cha kusema tu 'nimeitoa kwa fulani/ sehemu fulani' au 'kwa hisani ya fulani na fulani'. Hakuna ugumu wowote katika kufanya hivyo.
 
Wanadamu kwa wivu bwana...ndiyo maana tukifa tunasahau hata kufunga macho!

Mkuu hakuna mtu ana wivu, kwani wivu wa nini? Ila wizi wa kazi za watu ndio unapigwa marufuku, iwe umekopi neno kwa neno ama umeingiza maneno yako(to make it tasty -paraphrasing) bado ni wizi.

Otherwise admit kuwa ni kazi yako tu, plagiarism is a criminal offence, sio wivu
 
Remember when i said i love you? i wasn't lying.Remember when we used to talk for hours and tell each other everything? i miss that, i miss it but someone or something always seemed to be against us.Remember the first conversation when we both started to like each other but thought we didn't have a chance?

So maybe we were unable to climb the enormous mountain together, maybe we don’t get a happily ever after. I'd love to say that was fine with me, i loved to say that i enjoyed the past and now we can both move on, but the truth is i still love you and still want you.

The truth is no matter how far away you may be, no matter what you might say or do my mind always finds a way to end up thinking about you. So maybe you don’t need me anymore, maybe you never did, one day you’ll wake up and realize that there is no one else in the world like me, that I'm one of a kind.

Maybe you’ll want me back one day and maybe that day ill still need you but I'm tired of hoping because somethings are just hopeless. If you want to replace me go ahead, I'm not saying that it wont hurt knowing you don’t want me but that's okay because ill find a way to survive because ill at least know that at some point we shared something, and you felt the same way i did and now you can be happy.

We used to send each other sms every time we got upset at each other, even if it wasn’t our fault. I used to make you turn red almost every time you talked to me. I used to be the boy you blamed over even though you didn’t know. I used to be the boy you wanted next to you,i used to be the boy that you would tell your dreams too,i used to be the boy you knew everything about, i used to be your best friend, i used to be the boy you said you had true love for.

But the key word there is used, i am no longer, I'm just a part of your past who doesn’t belong in your future. You have a new boy now, one that maybe your not shy around, that maybe makes you feel special. But remember i used to be that boy.

Maybe he is better for you, maybe he has things i don’t have but someday, someone will break your heart and ill still be here to put it back together. Someday your gonna realize that without me your life would be different. Maybe better, maybe worse.

Maybe i should quite you but even if i could i don’t think i would. You mean more to me then i can even explain. Its like when i talk to you i can finally breathe, when i don’t even want to smile you can make me laugh, when i lie to cover the pain and you see through it, that's what makes my life.

So Today i realized that maybe you were my accident and just maybe ill never recover, but that's okay because at least i know i fell for someone wonderful like you..

How sweet
 
Kukopi maandiko ya wengine hakukatazwi. Lakini, ili kutowahadaa wengine kudhani kwamba umeandika wewe, kutoa angalizo kwamba wewe siye mwandishi ni uungwana.

Ni kiasi cha kusema tu 'nimeitoa kwa fulani/ sehemu fulani' au 'kwa hisani ya fulani na fulani'. Hakuna ugumu wowote katika kufanya hivyo.

Mkuu uko sawa kbs, acknowledgement ni muhimu sana ndio mana kuna app inaitwa plagiarism checker kuwakamata watu sampo hii
 
Kukopi maandiko ya wengine hakukatazwi. Lakini, ili kutowahadaa wengine kudhani kwamba umeandika wewe, kutoa angalizo kwamba wewe siye mwandishi ni uungwana.

Ni kiasi cha kusema tu 'nimeitoa kwa fulani/ sehemu fulani' au 'kwa hisani ya fulani na fulani'. Hakuna ugumu wowote katika kufanya hivyo.

Hakuna sehemu yoyote nimemwandaa mtu kuamimini, sio lazima kuamini...Rose mwenyewe alipatikana kutokana na hisani ya wazazi wake but who cares kwamba sijaonesha hisani hiyo! kuzidishiana tu stress huko!
 
Hakuna sehemu yoyote nimemwandaa mtu kuamimini, sio lazima kuamini...Rose mwenyewe alipatikana kutokana na hisani ya wazazi wake but who cares kwamba sijaonesha hisani hiyo! kuzidishiana tu stress huko!

Siyo lazima kuamini nini? Wewe hayo maandiko umeyatoa kwingine bila kutaja. Siyo ya kwako. Umeyakopi. Umeyakopi bila kutambulisha ulikoyatoa. Huo ni wizi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom