You are not my type

acha uoga. Kuna some guys huwa hawawezi kuhandle rejection yaani wanaona kama ni tusi kwa uanaume wao wakati tongozo ni ombi tu. Inawezekana kwa asilimia kubwa tu anataka kuosha asepe ili ajihisi mwanaume ingawa chances zinaeza kuwepo pia anakufeel
 
Sasa si unaona, yeye alinihukumu kwa jambo ambalo si la kweli na mimi nafikiria kitu ambacho sina uhakika nacho
 
Sasa si unaona, yeye alinihukumu kwa jambo ambalo si la kweli na mimi nafikiria kitu ambacho sina uhakika nacho
Ni kawaida. Ukiwa una insecurity flani, kila mara utahisi reactions za watu ni kutokana na mapungufu yako na kumbe walaa.just understand the guy
 
Aaah wachambe tu ukiona mtu anachamba ujue ana matatizo katika afya ya akili...
Mume kasema I am not his type....

Hapa nasaka my type
Hahaha wii my kaka hana jeuri hiyo
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…