"You are not my type"



...my hatz off to this dear..
 

Kumbe nilikuogopa bure
 
Nilishawah kuambiwa mara nne ila nikafosi kingi mpaka nikabandua mzigo halafu na mimi naaga kwa kusema ''I'M NOT YOUR TYPE''
 
Hahaaa, sasa hutaki?, na sasa we're right on your side making things happen, not even behind anymore..lol
So a man needs a woman to excell right?? So does a woman?? But ulishawahi kusikia mwanaume akitamba kwa mafanikio ya mwanamke?? Ni kwamba mko inferior au??

Come on maaam 😉😉😉😉
 
Reactions: kui
Nimevuta taswira sijaona sehemu niliyowahi kuambiwa hilo neno..huwa najaribu kuwafuata wanyonge wenzangu maana matusi na dharau kweli sipendi
niko nawe pa1 mambo ya matusi na dharua bora nitafute type yangu
 
So a man needs a woman to excell right?? So does a woman?? But ulishawahi kusikia mwanaume akitamba kwa mafanikio ya mwanamke?? Ni kwamba mko inferior au??

Come on maaam 😉😉😉😉

Teh!, sio inferior bwana, tunakuwa proud of the success that we help you guys archive.
 
Type hii ipo kwenye group hili!! Wote wanaojifanya wazuri huku kichwani hakun kitu Mara nyingi huishia kuumizwa sehemu za siri wajanja
 
Hongera sana, hapo kwenye point umeongea point kubwa sana. Ulipe ubaya ili iweje. Nataka nimkomoe yule dada/kaka! Mie wenye kauli hizi hunishangaza sana. Mkishindana kila mtu achukue 50 zake hakuna sababu ya kuwekeana visasi vya namna yoyote ile.

 
Nilikutana na Polisi,,,hahaa Akakataa mpaka Kula Nami Msosi,,,,Hakujua kuwa kipindi hicho natafta mke kabisa,,, Akajua sina Pesa,,,Ila Nashukuru Anajuta
 
Ulikuwa unataka sifa eeh?unamtongozaje bint mbele za washkaji?
 
maelezo nitakayo toa hapa yatajenga picha ni revenge wakati mimi natafuta tu justice ....naweza mkoleza akifika kwenye peek ya mahusiano yaani haoni wala hasikii mimi huyoooo nasepaa zangu
Technically thts a swift revenge
 
..pole sana mkuu,..mwenyewe form2 nlishawahi ambiwa maneno n.a. mdada m1 inauma aisee!..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…