"You are not my type"

ni kweli , mi nashindilia palepale , unaweza kuwa successful hata ukiwa bila mwanamke , unaweza ukawa successful na mwanamke wako akawa wa kwanza kukuchimbia shimo
 
Napenda sana wanawake wenye mafanikiwa ila naambiwa sio type yao bt wa type yangu nao siwatak sijui nifanyeje napenda kuwa namafanikio so wanawake wenye low income siwapend hata akiwa mzur japo na mimi ni wakawaida bt napenda bosslady tatizo siwapat
unataka kuwa Mario au...?
 
Back then there were few if no gold diggers at all.. But in today's world, few and very few ladies can take a walk with you..

Si unaona hata humu wabeba box wanaonwa kama miungu watu hivi.. Struggle is real
Oh yeah ,You can say that again

We live in the most complex times nothing is black and white

Its just that Gods grace keeps us moving

Things are changing ,human beings are changing and everything in between

Take a look at the top of Mountain Kilimanjaro
Does it looks like it was in early 60's ?

We just have to take everything as they are and embrace the moment
 
For sure homie.. YOLO
 
WTF?
Kumbe broda na wewe ni mnyama hivi?
Hahahaha hapana aisee sister sina unyama nina roho moja ya huruma sana ,sema sasa mtu akivuka mipaka yake ,Repercussions zake zinakuwa mbaya sana ,kwa sababu nikishaamua jambo nimeamua huwa siangalii nyuma
 
umenikumbusha aisee "wewe sio type yangu sijui nimekutoa wapi! changudoa mkubwa" yarabi msamehe tu maana siku akikutana na mchepukaji atajua maana yake
 
Ila tatizo lenu na nyie, mtu mnaweza mkataabika wote, siku mkizichanga ndo unakuwa "not his type" loooh. But I think kama mtu kutoka moyoni mwake ameridhia kuhustle na mtu wake, afanye tu hata mambo yakibadilika, itauma yes but no regrets coz ulifanya mwenyewe kutoka moyoni, hukulazimishwa (things we do for love). Ila usiwe busy sana kusupport dreams za mwenzi wako, ukasahau kama na wewe una dreams zako pia, add value to your life too (upgrade yourself too). Ili hata siku mtu akinyanyuka anakuta bado unamfit katika maisha hayo mapya. Na hata akikuacha tayari umefanya kitu Kwa ajili ya maisha yako so unaendelea tu kusimama.

Ukibahatika kumpata ready made ni kheri pia especially kama anakuheshimu na hana kiburi na Mali zake. Maana kuna wanaume bana kisa vijicent vyake basi atakutreat as one of his items, sio Kwa hayo manyanyaso
 
Dah, sijawahi kumbana na dhoruba kama hii, ila hii kauli inadhihirisha ustaarabu na utu wa mtu. Huwezi kuta mwanamke/mwanamme aliyestaarabika akatoa hii kauli kwa kumaanisha.
 
Binafsi sijisifii jamani,nipogo humble sana.
Hakuna kitu ambacho huwa nakiepuka kama dharau.
Sipendi kumdharau mtu kutokana na muonekano wake au aina yake ya maisha.
Tena naweza kukupamba ukajiona uko juu zaidi ya uhalisia.

Nimewahi date na wenye ego,yani mtu anajisikia vibaya sana halafu ukiangalia sio lolote kuanzia muonekano na kila kitu.
Ambacho huwa nakifanya ni kujishusha,kama sioni vile.
Mwisho wa siku tukija kubreak up huwa haupiti muda wananitafuta tena kwa masikitiko na kujishusha kulikopitiliza.
Kuna Ex wangu mmoja aliwahi kuniambia "Wewe ni mwanamke wa ajabu Nifah,wanawake kama wewe wamebakia ktk filamu pekee"
Sababu kuu ni unyenyekevu,huruma,heshima na ustaarabu nilivyojaaliwa.

Siri ya yote hayo ni kutokulipa ubaya kwa ubaya,tenda wema nenda zako.
Wema huishi milele.
Period
 
ni kweli , mi nashindilia palepale , unaweza kuwa successful hata ukiwa bila mwanamke , unaweza ukawa successful na mwanamke wako akawa wa kwanza kukuchimbia shimo
Ni kweli brother ila pia tunapopima mambo tunaangalia Percentage kubwa imeangukia wapi

Fanya tu research yako wengi wenye mafanikio kwenye nyanja tofauti basi mama alisimama kwenye nafasi yake kama inavyopasa,mama akiyumba tu ni rahisi sana kwa familia kuyumba

Hivyo power ya mwanamke anayejielewa ni kubwa sana katika maisha yetu
 
I advice that all women take this message seriously bcoz these are very good words,although i belong to the broke nigga group of guys.
Usijali hata, watu wengi walikuwa huko, ila Leo wapo sehemu nyingine kabisa. You keep on hustling + Mtegemee Mungu + kuwa mvumilivu, ipo siku yako tu
 
Haijawahi tokea maana najitahidi sana kuwinda type zangu na kiuhalisia wanawake wote wasio nizidi zaidi ya miaka m5 ni type yangu.
Kuwa type ya mtu fulani ni huyo mtu anavyokutazama yeye na si unavyoona wewe... unaweza ukaon huyu ni type yangu lakini yeye akaona wewe si type yake...
 
Maisha yakibuma hakawii kukutafuata na kukuambia I didn't mean that, babe I love you so so much😡😡😡
Hapo nimesuuzika na roho yangu,yaani umenipa matumaini kwamba iko siku mambo yatakuwa byee.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…