Thanks Haika ... what do we advise makahaba .... is this applicable to them as well?
Naomba kuwasilisha.
Wengi tunahesabu umri wetu kwa miaka, lakini nilipata fursa ya kumsikiliza Dr mmoja akanishawishi nikubaliane naye.
Haijalishi una miaka mingapi tangu uzaliwe, ila kama una kiungo kimechoka, hujakitunza vizuri, hicho ndicho kitakupeleka kaburini.
Mfano kama hutunzi mapafu yako, hata ukiwa na miaka 27, mapafu yako yanaweza kuwa kama ya mtu wa miaka 80 kwa ajili ya matunzo unayoyapa, hivyo kuwa mzigo kwa mwili na kukupelekea uwe mzee japo umri wa kuzaliwa si mkubwa sana.
Kama ngozi, moyo, mfumo wa chakula, mfumo wa damu, wa neva, nk, kama usipotunzwa tangu mapema, unaanza kuzeeka kabla ya wenzake na kufanya uwe kikwazo cha viungo vingine.
hii hupelekea kuwa mzee japo kiungo kizee ni kimoja tu.
Tutunze viungo vyetu. Kila kimoja kwa namna inayotakiwa.
Uffs naimaomari...what are thinking?or traying to think differ from others.
G'day
Thanks Haika ... what do we advise makahaba .... is this applicable to them as well?
Thanks Haika ... what do we advise makahaba .... is this applicable to them as well?
Naomba kuwasilisha.
Wengi tunahesabu umri wetu kwa miaka, lakini nilipata fursa ya kumsikiliza Dr mmoja akanishawishi nikubaliane naye.
Haijalishi una miaka mingapi tangu uzaliwe, ila kama una kiungo kimechoka, hujakitunza vizuri, hicho ndicho kitakupeleka kaburini.
Mfano kama hutunzi mapafu yako, hata ukiwa na miaka 27, mapafu yako yanaweza kuwa kama ya mtu wa miaka 80 kwa ajili ya matunzo unayoyapa, hivyo kuwa mzigo kwa mwili na kukupelekea uwe mzee japo umri wa kuzaliwa si mkubwa sana.
Kama ngozi, moyo, mfumo wa chakula, mfumo wa damu, wa neva, nk, kama usipotunzwa tangu mapema, unaanza kuzeeka kabla ya wenzake na kufanya uwe kikwazo cha viungo vingine.
hii hupelekea kuwa mzee japo kiungo kizee ni kimoja tu.
Tutunze viungo vyetu. Kila kimoja kwa namna inayotakiwa.
Thanks Haika ... what do we advise makahaba .... is this applicable to them as well?
Ha ha ha! naughty naima, by makahaba i hope you have included men, there is man i know who use to sleep around and he used to write down the dates and how many times.The notebook[a big 1]was almost full.