Nyanya mbichi
JF-Expert Member
- Nov 10, 2011
- 3,716
- 2,207
mimi sijaona chanzo cha kifo chake kilipoandikwaina maana hujasoma chanzo cha kujiua? dah !kweli trump hajakosea
mimi sijaona chanzo cha kifo chake kilipoandikwaina maana hujasoma chanzo cha kujiua? dah !kweli trump hajakosea
Usimalize manenomie haitokaa nijiue !weee maisha yalivyo matamu hv! ni kuondoka tu yakikuzid
Mkuu unasema tu wewe kama hakukuni vizuri si utamtega hata muokota makopo akukune ndio hapo sasa kasheshe litaanzaNokia83 nimpate mwanaume design ya Yona kama unavyomsemea hapa nitampenda kiasi kikubwa mno. Maisha ya ndoa ni zaidi ya hiyo papuchi au sijui kitu gani. KWANZA mwanaume kwangu ni yule anayenipenda kwa uaminifu na kujituma kimaisha na Mimi najituma na mwisho wa siku tunatathmini tunachokiona kwa macho cha Maendeleo and not counting how many times we have been on bed. Hatujabahatika jamani.
Mhhh akajiue Guest?Sijui kwanini duniani kuna vitu vigumu kiasi hiki... Eeeh Mungu baba wa rehema kampe pumziko la haki marehemu..
Nazidi kuziombea ndoa na mahusiano mengine yanayopitia katika nyakati ngumu za ugomvi na mafarakano... Baba wa rehema katende sawa sawa na mapenzi yako... Kahukumu kwa haki wale wote wanaotibua ndoa na mahusiano ya wengine
Tunatambua ulisema NDOA NA IHESHIMIWE NA WATU WOTE... basi na iwe hivyo... Aaamen
Mkuu mimi mwakajana kuna demu alinifanya vibaya pia we acha sio siri mpaka leo hatusalimiani na tupo majiraniNnavyokuona .....
Please jipende kwanza kabla ya kupenda yeyote!
Maisha zawadi usiitupetupe,iienzi!
Nilishaumizwa sanaàa! Au niliumia saaana!
Sijapigwa kibao,hivyo sujaumizwa ,niliumia sana!
Sitakaa nisahau!
Diari ya mwaka huo sitaki kuipitia!
Mapenzi yanauma sana! Sikuweza Kula ,nilipungua uzito zaidi ya kilo 15 ndaninya mwezi bila zoezi wala diet! Nilikuwa kama kichaaa!
Lakini nilisimama kwa kusali na kuomba,ila nilikaribia kufa!
Nihisia tuuu zako binafsi,mwenzako wala hakujali wala hakifeel hata kidogo! Kwanza anakushangaa tuu unavyohangaika!
Nakuelewa ,jipende kwanza wewe wewe mwenyewe ndio wengine wafuate!
Nilijifunza kuchukia japo ngumu,nilimchukia jamaa hatari! Mpaka sasa niko nae, simtegemei sana kunipa furaha! Ananipa pesa magari,na vingine, lakini hisia zangu bado hazijarudi kama mwanzo 10 yrs!!
Zungumza humu ,acha yapite,chati,Cheka,furahi,
But sali sana!
Mwisho wa siku wote tutakufa!
Usijiue usiue
Pole sana Mkuu!Mkuu mimi mwakajana kuna demu alinifanya vibaya pia we acha sio siri mpaka leo hatusalimiani na tupo majirani
Kuna mmama moja kanisaidia sana kwa mawazo namuheshimu sana huyo mama mpaka sasa kawa best yangu sana
Mdada alikua ananisema vibaya sana
Mbaya zaidi kujua kila kitu na bwana wake huyo
Karibu nijitoe roho
Kula hakuliki furaha ilipotea
Ukiniangalia kama mgonjwa
Nini Mapenzi
Da wewe acha
Simalizagi maneno
Thankx a lot comradeYan ukishindwa kuhandle kitu bora utoke kuliko kutoa uhai,
Uhai kakupa Mungu usifanye kujitoa duniani kisa mtu au maumivu
Ukitoka kimbilia kwa Mungu, yeye ni Baba, kama ni baba anaelewa unapo potia, ukiweza kulia liaaa had uchungu uishe,(hata kama ww ni mwanaume liaa toa machoz jifungie mahali mlilie Baba yako, tusijifanye wagumu hadi kwa aliyetufinyanga) ukiweza funga mwambie Mungu nimeumia siwezi kulibeba hili, utaona kidogo kidogo unapona
Binadamu tunakutana duniani hapa hapa na tunaachana hapahapa
Ndio maana kiapo kinasema mpaka kifo kitakapo tutenganisha
Ina maana huko mbinguni huendi naye huyo mtu.
Hakuna mtu mwenye mbingu ya kukupeleka
Kila mtu anapito lake, kila mtu ana mahali analia na Mungu lakin jamani hakuna mwenye maisha yaliyo nyooka ni Mungu tu anatuvusha kuvuka kwenda mahali pengine
Watu wanalia watu wana maumivu mno lakin tujipeleke kwa Mungu anasikia
Polen wafiwa wote
We acha tuPole sana Mkuu!
Utàmu wa mapenzi kinyume chake ni uchungu mkali sana!
Tupate watu wakutushauri kabla ya kuchukua maamuzi !
InawezekanaMh huenda ni ishu ya assassination eti? Niseme tu sie binadamu tumefungwa mambo mengi sana, hapa tunalaumu tu ila huenda kuna watu wakisoma hii sredi wanacheka tu the deal was done successfully!
Maana tumeingizwa na miguu yote Mia dadeki
its trueUsimalize maneno
Hakuna anaeplan kujiua ila yakikufika u need only 2 seconds kujiua
...mmmh watu mko deep hatarihiyo ambayo ndoa haikufanyika kipindi hicho hakuwa yona anamiliki dude, binti alitakaga kuolewa na jamaa flani hivi alikuwa anafanya mgodini, sijui nani akamtonya jamaa kuwa mwanamke ni Malaya, ndoa haikufungwa. Naona baada ya mda kidogo Yona ndo akajibebea na walifunga ndoa ya serikalini kisirisiri kabla binti hajaenda masomoni nje ya nchi
...wenzako wana usemi "gari bovu but linanifikisha town hata kama kwa shidashida"mapenzi kitu cha ajabu kabisa.. huyu mwanamke mimi akinipa hata na hela simchukui... mbovu na hapo rangi kiasi imemsaidia.... ni mbovu hasa. anyway.."kimfaacho mtu chake"
...kwani nawewe unacheat??mnanitisha mana my man na yeye ni mpole mno