Son of Gamba
JF-Expert Member
- Oct 26, 2012
- 4,358
- 6,077
Napinga sana kitendo cha mwanaume kujiua sababu ya mwanamke. Hakuna sababu yoyote ile inayohalalisha kujitoa uhai chini ya jua, achilia mbali eti "mwanamke"! Nikisikia eti mtu amejitoa uhai wake sababu mkewe anatembea na mwanaume mwingine huwa nakereka sana, tena sana. Lakini ndiyo hivyo tena, kila mtu na akili zake kichwani.Thats all he had...aliwahi kuandika story ya huyu binti kwa maana ya story kule bidii zamani sana
Kwa wale ambao hawajajiua bado, wakae wakijua kuwa unapojiua unakuwa unakufa huku ukitenda dhambi ya kuua. Matokeo yake ni kwamba siku ya mwisho wa dunia, moja kwa moja utahukumiwa kwa kuua. Mtu anayejiua hapati hata nafasi ya kutubu maovu yake sababu huwezi kutubu wakati upo kwenye mchakato wa kutenda dhambi nyingine. Mtu anayejiua anakuwa anajikatia tiketi ya moja kwa moja kwenda Jehanamu ya moto siku ile MESSIAH atakaporudi tena.