Yona agombana na Wamarekani

Yesu na maria, nkiki?? Yaani sasa unakuja as if huo mradi wa kina Stith una public interest?? Kwani wanajenga hospitali au airport au barabara?? Hii ni personal deal btn 2 companies, usiingize mambo ya public interest sababu hakuna public interest hata moja humo ndani. Kampuni ya kina Stith ni kampuni inayotafuta profit ya hali ya juu na sio NGO kama ambavyo kampuni ya Yona ilivyo also sio NGO, wote ni wafanya biashara na serikali haihusiki hata kidogo kuingilia, sehemu ya kwenda ni mahakamani ONLY.

Ndugu... kama umenisoma vizuri utaona nimeongelea zaidi swala la kuhodhi ardhi ambayo hujailipia kitu ili uje uiuze!Hapa kuna haki gani kwa anayehodhi?Im not arguing a case for public interest bali nazungumzia principle of EQUITY tu!( both inter and intra-generational equity)
 
Ni lini watu watakuwa na kukinai katika msamiati wao?

1. Fursa zinazojitokeza..wa kwanza kujua ni viongozi wetu... ina maana hutumia nafasi zao kwa manufaa yao tu?.... huu nao sio matumizi mabaya ya madaraka?
2. Ina maana viongozi ndio wateule wa kula keki ya taifa wao peke yao tu?
Kila fursa... utaona ni kiongozi, akichomekea huko watu wake( ndugu hasa)

Tufike mahali tuwe na moyo wa kutosheka.... viongozi wana mishahara mikubwa, marupurupu, pension za uhakika.... na bado wanadaka kila kinachoingia... waone haya na wamuogope Mungu!

J, hizo ndiyo tabia za Viongozi wenye uroho wa utajiri wa haraka haraka wanataka kudaka chochote kile kinachokatiza usoni kwao. Ndiyo maana tuna ufisadi chungu nzima unaofanywa na Viongozi na marafiki zao. Ukiangalia EPA, Ununuzi wa Rada, Ndege ya Rais, Richmond n.k. wahusika wote ni viongzi na marafiki zao wa karibu kabisa.
 
Hivi huyu kesi yake si iko mahakamani? mwacheni ndo maisha aloyachagua ya ugomvi.
 
Kila nyumba ilipangwa kugharimu dola za Marekani 100,000 (zaidi ya Sh milioni 100) au pungufu ya kiwango hicho. Mkataba wa mkopo wa kuuziwa nyumba hiyo kwa mlalahoi wa Tanzania utadumu kwa miaka 15.
.
Mimi sijaelewa hizo bado mnaziita nyumba za bei nafuu???? Nyumba za kuweza kununuliwa na watanzania wenye kipato cha chini??? kima cha chini cha sasa ni shilingi ngapi? nikiweza kuipata hiyo deal ya kukopeshwa hiyo nyumba kwa miaka 15 nitahitajika kulipa shilingi ngapi kila mwezi? na huo mkopo ungekuwa na liba kiasi gani?
 
WoS,

Nikimiambienit kuwa Watanzania i wavivu na wajanja wajanja mnasema si mzalendo!

Nimekuwa napiga ndoma na baragumu kwa karibu miaka 10 na ushehe kuwa Siasa na Uanasiasa ndio mfumo mpya wa Ujasirimali au wenyewe kwa kimombo wanasema entraprenyuashipu!

Lakini mnasahau kuwa Vigogo na wakubwa wao ni ruksa kuuza ardhi lakini wananchi wengine mnakemewa?

Hivi leo hii jamaa wa kule Kisarawe wakiuza ardhi kuzlish Jatropha si mpaka FFU wataletwa kuwaswaga, lakini Mkuuwa Wilaya akishirikiana na Kamishna wa ardhi kwanza watawanyang'anya wanyonge ardhi kisha kuiuza kwa Mwekezaji kwa bei ya meno ya dhahabu!

Kweli!
 
Mkuu, sio hivyo ninavyoelewa mimi. Since 2006, walitakiwa kulipwa hela zao yaani kuconsumate hiyo sale agreement, ndio transfer ya title deed ingetoa kama formality tu.

You don't believe kwamba walilipwa then wakahold title, sababu kesi ingekuwa mahakamani siku nyingi sana.

Issue ni kuwa baada ya deal kutokwenda popote kwa miaka 3, wakina Yona wamepata shughuli nyingine na ardhi yao, kwa hiyo wanataka kumove on, ndio huyo balozi tapeli analeta za kuleta, kelele magazetini why?? Also sio fair 2010 kutaka kulipa hela za 2006, hell no.

Lakini mimi sababu mwenyewe sihusiki nadhani waende mahakamani tu.

Kilichoniudhi ni hiyo gear kana kwamba mradi una interest na wananchi maskini. Sehemu za kujenga nyumba za bei nafuu ziko nyingi mno Tanzania, waende wizarani watapewa maeneo mengi tu washindwe wenyewe.
Moelex23,
Labda itamake sense kama tukijua hilo eneo akina Yona walilipata kwa bei gani?
 
kuna vichwa vitatu
ben mkapa
daniel yona
basil mramba
yaani hawa waheshimiwa nikiwaona hata niwe na penseli ntaficha,maana hivi vichwa vinawaza deal tu mda wote,maslahi ya wananchii aah,hata wakila majani acha wale wao wataiba tuu,yaani napata hasira kweli,kila ishu mbofumbofu wanatajwa wao tu.
 
kuna vichwa vitatu
ben mkapa
daniel yona
basil mramba
yaani hawa waheshimiwa nikiwaona hata niwe na penseli ntaficha,maana hivi vichwa vinawaza deal tu mda wote,maslahi ya wananchii aah,hata wakila majani acha wale wao wataiba tuu,yaani napata hasira kweli,kila ishu mbofumbofu wanatajwa wao tu.

Umeniacha taabani hapo penye nyekundu, ila kuna siku Bibi atakufa halafu sijui wataenda vuna shamba la Bibi lipi? wakati wajukuu wa Bibi nao watadai warudishiwe kila kilichokuwa chao
 
same old story, unapotokea ufisadi same names keep on propping up. And funny enough same people are still enjoying na kulindwa juu.
 
Kibabu umemsahau Engineer wao , naye ni ANDREW CHENGE. Huyu ni hatari sana , maana hakamatiki.
yaani zikikutana hizi mutu hatari tupu,nkapa anaenda kupendekeza ujenzi wa nyumba,then anampasia dili yona kwamba kuna jamaa wanaleta dola wabamize kiaina,mwanasheria anayesimamia kusaini makubaliano chenge,mramba anatoa kabisa hela hazina wanagawana kabla hata hao jamaa hawajaja kuanzisha huo mradi wenyewe,aah wakija jamaa si watarudishia bana,hapo usisahau pia nyumba hizo zinazoitwa za bei rahisi zikiisha jengwa kuna watu wao walishawaandikisha kwamba ndio watagawiwa,hiyo ndio bongo dalesalamu.
 
Mimi sijaelewa hizo bado mnaziita nyumba za bei nafuu???? Nyumba za kuweza kununuliwa na watanzania wenye kipato cha chini??? kima cha chini cha sasa ni shilingi ngapi? nikiweza kuipata hiyo deal ya kukopeshwa hiyo nyumba kwa miaka 15 nitahitajika kulipa shilingi ngapi kila mwezi? na huo mkopo ungekuwa na liba kiasi gani?

utatakiwa ulipe 555,556 Tsh kila mwezi .Hapo bila kuweka faida ktk mahesabu.
Kwahiyo kama hiyo kapuni inatafuta faida itakubidi ulipe kati 600000-700000 kwa mwezi.
 
utatakiwa ulipe 555,556 Tsh kila mwezi .Hapo bila kuweka faida ktk mahesabu.
Kwahiyo kama hiyo kapuni inatafuta faida itakubidi ulipe kati 600000-700000 kwa mwezi.
LMAO!duuh yaani hii mnaiita bei nafuu?kweli bongo ya vijisenti
 
LMAO!duuh yaani hii mnaiita bei nafuu?kweli bongo ya vijisenti

Teh teh teh hiyo ndo bei rahisi, wakati wengine ukitukopesha tu hiyo 600000 inayotakiwa kulipa kwa mwezi na tuilipe hiyohiyo ndani ya miaka 10 ni mgogoro tupu,
 
jamani. liardhi likubwa kama hilo liko wapi mimi nikarinunue kesho, hela hiyo mbona kwangu ni ndogo! I am serious..any contact please!
 
jamani. liardhi likubwa kama hilo liko wapi mimi nikarinunue kesho, hela hiyo mbona kwangu ni ndogo! I am serious..any contact please!
mpigie yona analo hilo ardhi,tena ndani ya dar,ila bei imepanda kidogo ndio maana wanataka vunja mkataba.
 
LMAO!duuh yaani hii mnaiita bei nafuu?kweli bongo ya vijisenti

Lakini MkamaP,

Hali ya makazi dar ni mbayaaa........ Hivi unajua kwa sasa nyumba ya 3 beadrooms maeneo ya sinza na kijitonyama ni USD 700. Maji hakuna, baraba haifiki hadi nyumbani!!!! Kodi lazima ulipe kwa mwaka!!!

Kwa mradi huu wa EHTL naona ni nafuu; if one can afford USD 700 annually; this is TZS 600,000 kwa mwezi!! Kwa nyumba iliyo kaa sawa, good area, and water assurance.

Ule mradi wa BOT ni kizunguzungu!!!
 
Hali ya makazi dar ni mbayaaa........ Hivi unajua kwa sasa nyumba ya 3 beadrooms maeneo ya sinza na kijitonyama ni USD 700. Maji hakuna, baraba haifiki hadi nyumbani!!!! Kodi lazima ulipe kwa mwaka!!!

Hizo USD 700 ni kwa mwezi kwa miezi kadhaa au mwaka mkuu? Hauja orodhesha duration ya hayo malipo.

Kwa mradi huu wa EHTL naona ni nafuu; if one can afford USD 700 annually; this is TZS 600,000 kwa mwezi!! Kwa nyumba iliyo kaa sawa, good area, and water assurance.

Mkuu USD 700 anually ni TZS 600,000 kwa mwezi? Au did you mean USD 700 monthly?
 
Hizo USD 700 ni kwa mwezi kwa miezi kadhaa au mwaka mkuu? Hauja orodhesha duration ya hayo malipo.



Mkuu USD 700 anually ni TZS 600,000 kwa mwezi? Au did you mean USD 700 monthly?

Mkuu MF1
USD 700/month!! I was saying badala ya kendelea kuteseka kulipa USD 700/month kwenye nyumba ya hovyo; bora mradi wa EHTL ambao estimations ya repayment kwa mwezi ni arounf TZS 600,00 to 700,000/month!!
 
Mkuu MF1
USD 700/month!! I was saying badala ya kendelea kuteseka kulipa USD 700/month kwenye nyumba ya hovyo; bora mradi wa EHTL ambao estimations ya repayment kwa mwezi ni arounf TZS 600,00 to 700,000/month!!

Ulikua umeandika anually badala ya monthly mkuu ndiyo maana nika kuuliza.
 
Back
Top Bottom