Al-mukheef
JF-Expert Member
- Feb 2, 2025
- 8,367
- 10,396
Mpe andiko sio porojo🤣🤣🤣Wewe ni mgeni JF ... watag hao waislamu wenzio hapo nilio watag watakuambia majibu yalikuwaje
Mpe andiko sio porojo🤣🤣🤣Wewe ni mgeni JF ... watag hao waislamu wenzio hapo nilio watag watakuambia majibu yalikuwaje
Tunataka waislamu wenye uelewa wa hata dini yso kama mashekh ndiyo waje na hoja hapa maana tukiulizwa tunajibu ila nyinyi mkiulizwa amjibu na mkijibu, majibu yenu yana pingana na logic ya dini yenu wenyewe ...niliuliza hapa na nikasema kuwa MADHEHEBU NI UKAFIRI..WAISLAMU WAKAJA KUPINGA BILA YA ANDIKO 😁😁Mpe andiko sio porojo🤣🤣🤣
Sio wewe ndio ulishinda kuleta andiko kuwa kuwa na madhehebu ni ukafiri?Tunataka waislamu wenye uelewa wa hata dini yso kama mashekh ndiyo waje na hoja hapa maana tukiulizwa tunajibu ila nyinyi mkiulizwa amjibu na mkijibu, majibu yenu yana pingana na logic ya dini yenu wenyewe ...niliuliza hapa na nikasema kuwa MADHEHEBU NI UKAFIRI..WAISLAMU WAKAJA KUPINGA BILA YA ANDIKO 😁😁
Kabla hatujaendeleq una D ngapi form 4 au hujafika?Kama kichwa cha habari kinavyojieleza
JE YESU NA MUNGU NANI KAMUUMBA MWENZIE
Karibuni kwenye mada
No matusi
changieni mada bila jazba
Cc Andromeda Galaxy adriz Mshana Jr hamis77 leo dada Zee la madawa GENTAMYCINE Kubwa la Maadui
Mlikosa elimu kubwa kwa kukimbia ule mjadala ..ninge kuambieni maana ya ukafiri...hakuna Shekh anaye jua maana ya ukafiri kwa ufasaha kuliko mimi ..kwenye uke uzi uliuliza je uzinzi ni ukafiri nikakujibu kuwa ..Uzinzi unaweza kuwa ukafiri au usiwe ukafiri ...ukuniuliza kivipi ? Ningekupa elimu mujarabu ...TATIZO LENU WAISLAMU NA MASHEKH WENU AMJUI MAANA YA UKAFIRI KWA UPANA WAKE ...NINAPO SEMA MADHEHEBU NI UKAFIRI JUA KUWA NIMEZINGATIA VIGEZO VYOTE SAHIHI VINAVYO FANYA KITU KIITWE UKAFIRI ...KWENYE MADHEHEBU NI UKAFIRI KWA ASILIMIA 100% YOUOTE ALIYE NA MADHEHEBU HUYO NI KAFIRI HAIJALISHI NI DINI GANI.Sio wewe ndio ulishinda kuleta andiko kuwa kuwa na madhehebu ni ukafiri?
Sasa leo twende kwa maandiko kwanza toa andiko kwamba kuwa na madhehebu ni ukafiri halafu mpe andiko uliloombwa hapo juu
Full stop,no excuse
Toa maandikoMlikosa elimu kubwa kwa kukimbia ule mjadala ..ninge kuambieni maana ya ukafiri...hakuna Shekh anaye jua maana ya ukafiri kwa ufasaha kuliko mimi ..kwenye uke uzi uliuliza je uzinzi ni ukafiri nikakujibu kuwa ..Uzinzi unaweza kuwa ukafiri au usiwe ukafiri ...ukuniuliza kivipi ? Ningekupa elimu mujarabu ...TATIZO LENU WAISLAMU NA MASHEKH WENU AMJUI MAANA YA UKAFIRI KWA UPANA WAKE ...NINAPO SEMA MADHEHEBU NI UKAFIRI JUA KUWA NIMEZINGATIA VIGEZO VYOTE SAHIHI VINAVYO FANYA KITU KIITWE UKAFIRI ...KWENYE MADHEHEBU NI UKAFIRI KWA ASILIMIA 100% YOUOTE ALIYE NA MADHEHEBU HUYO NI KAFIRI HAIJALISHI NI DINI GANI.
Wala hakuna haja ya maandiko nikishusha logic tu ya UKAFIRI wewe mwenyewe utakubali kuwa mashekh hawajui kitu ..hauta weza kubisha tena ....madhehebu ni ukafiri kwa asilimia 100%.. majuzu uliuliza swali zuri sana ila ukutaka kujua kwanini ..uliuliza je mtu akifanya uzinzi huyo ni kafiri yaani mfano muislamu kafanya uzinzi ...nikakuambia kuwa ndiyo na siyo ..nikakuambia kuwa hupo uzinzi wa ukafiri na upo uzinzi usio ukafiri ni dhambi tu ..ukuniuliza kivipi.Toa maandiko
Yaani watu tusikilize logic zako?Wala hakuna haja ya maandiko nikishusha logic tu ya UKAFIRI wewe mwenyewe utakubali kuwa mashekh hawajui kitu ..hauta weza kubisha tena ....madhehebu ni ukafiri kwa asilimia 100%.. majuzu uliuliza swali zuri sana ila ukutaka kujua kwanini ..uliuliza je mtu akifanya uzinzi huyo ni kafiri yaani mfano muislamu kafanya uzinzi ...nikakuambia kuwa ndiyo na siyo ..nikakuambia kuwa hupo uzinzi wa ukafiri na upo uzinzi usio ukafiri ni dhambi tu ..ukuniuliza kivipi.
Maria si alipata mimba kwa uwezo wa roho mtakatifu? Hawa wanawake wagumba huku mtaani mbona hawapati mimba kwa uwezo wa roho mtakatifu? Ina maana roho mtakatifu ana ubaguzi?Maria
Andiko lipi linasema Maria alitumika kama njia?
Wasiwasi wako tu!Maria si alipata mimba kwa uwezo wa roho mtakatifu? Hawa wanawake wagumba huku mtaani mbona hawapati mimba kwa uwezo wa roho mtakatifu? Ina maana roho mtakatifu ana ubaguzi?
Yaani umeruka swali umenijibu shortcut inaonekana wewe sio mfia DINI😁😁😁Wasiwasi wako tu!
nimefia vibaya mno nimechoka tu kupopoana!Yaani umeruka swali umenijibu shortcut inaonekana wewe sio mfia DINI😁😁😁
Kwa comment hii, kweli umestahili hilo jina.Watakwambia bila roho mtakatifu uwez elewa au wakizidiwa sana watasema bible haisomwi kama vitabu vingne
Hapa tegemea majibu ya mawazo binafs ya kila kondoo, hakuna jibu la moja kwa moja
Bora umesema ukweli maana nilikuwa nimejiandaa na silaha za maangamizi😁nimefia vibaya mno nimechoka tu kupopoana!