Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 2,209
- 4,706
Wadau hamjamboni nyote?
Nimerudi kwenu Wakuu
Iko namna hii,
Inajua kwanini Wasabato wanadai y Mwanamke anayetajwa kwenye Ufunuo 12 anasimama badala ya Kanisa lao la Waadventista Wasabato (SDA)?
Ipo sababu kubwa ya msingi ya chuki hiyo dhidi ya Bikira Maria aliye Mama wa Bwana wetu Yesu Kristo
Ndiyo Msabato mueleze chochote atakuelewa ila usithubutu kumpa sifa yeyote Bikira Maria nakuthibitishia ndugu yangu mtagombana
Chuki hiyo inawapofusha wengi wao na kuamua kutafsiri kwa njia potofu fungu hilo ambalo liko wazi kabisa na wala halihitaji kufunga siku arobaini Ili kulielewa.
Kwao Bikira Maria hana thamani zaidi ya kumfananisha na Bahasha ambayo kawaida ikitumiwa hutupwa jalalani
Tukirudi kwenye mada hebu waulize kuwa kama kweli huyo mwanamke ni Kanisa je Mtoto aliyezaliwa ni nani?? Baadhi yao watakujibu kuwa huyo Mtoto ni Yesu Kristo!
Waulize tena pia kipi kilitangulia kati ya Kanisa na huyo Mtoto?
Yaani Mwanamke ni Kanisa lakini Mtoto aliyezaliwa ni Yesu Kristo!! Ajabu kubwa kabisa
Karibuni tujadili kwa heshima na staha
Jumapili njema
UFUNUO 12
12:1 Kisha ishara kubwa ikaonekana mbinguni. Palikuwa hapo mwanamke aliyevikwa jua, na mwezi chini ya miguu yake, na taji ya nyota kumi na mbili juu ya kichwa chake!
2 Alikuwa mja mzito, na akapaaza sauti kwa maumivu na uchungu wa kujifungua mtoto.
3 Ishara nyingine ikatokea mbinguni: joka kubwa jekundu na lenye pembe kumi na vichwa saba; na kila kichwa kilikuwa na taji.
4 Joka hilo liliburuta kwa mkia wake theluthi moja ya nyota za anga na kuzitupa duniani. Nalo lilisimama mbele ya huyo mama aliyekuwa karibu kujifungua mtoto, tayari kabisa kummeza mtoto, mara tu atakapozaliwa.
5 Kisha mama huyo akajifungua mtoto wa kiume, ambaye atayatawala mataifa yote kwa fimbo ya chuma. Lakini mtoto akanyakuliwa na kupelekwa kwa Mungu na kwenye kiti chake cha enzi
Nimerudi kwenu Wakuu
Iko namna hii,
Inajua kwanini Wasabato wanadai y Mwanamke anayetajwa kwenye Ufunuo 12 anasimama badala ya Kanisa lao la Waadventista Wasabato (SDA)?
Ipo sababu kubwa ya msingi ya chuki hiyo dhidi ya Bikira Maria aliye Mama wa Bwana wetu Yesu Kristo
Ndiyo Msabato mueleze chochote atakuelewa ila usithubutu kumpa sifa yeyote Bikira Maria nakuthibitishia ndugu yangu mtagombana
Chuki hiyo inawapofusha wengi wao na kuamua kutafsiri kwa njia potofu fungu hilo ambalo liko wazi kabisa na wala halihitaji kufunga siku arobaini Ili kulielewa.
Kwao Bikira Maria hana thamani zaidi ya kumfananisha na Bahasha ambayo kawaida ikitumiwa hutupwa jalalani
Tukirudi kwenye mada hebu waulize kuwa kama kweli huyo mwanamke ni Kanisa je Mtoto aliyezaliwa ni nani?? Baadhi yao watakujibu kuwa huyo Mtoto ni Yesu Kristo!
Waulize tena pia kipi kilitangulia kati ya Kanisa na huyo Mtoto?
Yaani Mwanamke ni Kanisa lakini Mtoto aliyezaliwa ni Yesu Kristo!! Ajabu kubwa kabisa
Karibuni tujadili kwa heshima na staha
Jumapili njema
UFUNUO 12
12:1 Kisha ishara kubwa ikaonekana mbinguni. Palikuwa hapo mwanamke aliyevikwa jua, na mwezi chini ya miguu yake, na taji ya nyota kumi na mbili juu ya kichwa chake!
2 Alikuwa mja mzito, na akapaaza sauti kwa maumivu na uchungu wa kujifungua mtoto.
3 Ishara nyingine ikatokea mbinguni: joka kubwa jekundu na lenye pembe kumi na vichwa saba; na kila kichwa kilikuwa na taji.
4 Joka hilo liliburuta kwa mkia wake theluthi moja ya nyota za anga na kuzitupa duniani. Nalo lilisimama mbele ya huyo mama aliyekuwa karibu kujifungua mtoto, tayari kabisa kummeza mtoto, mara tu atakapozaliwa.
5 Kisha mama huyo akajifungua mtoto wa kiume, ambaye atayatawala mataifa yote kwa fimbo ya chuma. Lakini mtoto akanyakuliwa na kupelekwa kwa Mungu na kwenye kiti chake cha enzi