Yesu na maria nani kamuumba mwenzake?

Yesu na maria nani kamuumba mwenzake?

Unatafuta umaarufu ambao hutaupata kamwe. Badala yake utadhaurika na utaoga matusi vya kutosha kenge wewe.
 
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza
JE YESU NA MUNGU NANI KAMUUMBA MWENZIE












Karibuni kwenye mada

No matusi

changieni mada bila jazba

Cc Andromeda Galaxy adriz Mshana Jr hamis77 leo dada Zee la madawa GENTAMYCINE Kubwa la Maadui
Wachana na hsyo maswali tulisha yajibu hapa na waislamu wenzako wakongwe wamekimbia na kunyamaza kimya ..kwa kifupi neno Yesu ni mambo mawili 1)mwili wa Yesu na 2) nafsi ya Yesu

Hivyo mwili wa Yesu ndiyo ulio zaliwa na Maria ila nafsi ya Yesu ndiyo baba ndiyo Mungu...hivyo kimwili Yesu ni mdogo wa umri kuliko mama yake au kuliko Ibrahim nk ila kinafsi Yesu ni mkubwa kwa sababu alikuwako milele ni Mungu...
 
Wachana na hsyo maswali tulisha yajibu hapa na waislamu wenzako wakongwe wamekimbia na kunyamaza kimya ..kwa kifupi neno Yesu ni mambo mawili 1)mwili wa Yesu na 2) nafsi ya Yesu

Hivyo mwili wa yesu ndiyo ulio zaliwa na Maria ila nafsi ya yedu ndiyo baba ndiyo Mungu...hivyo kimwili Yedu ni mdogo wa umri kuliko mama yake au kuliko Ibrahim nk ila kinafsi Yesu ni mkubwa kwa sababu alikuwako milele ni Mungu...
Andiko gani hilo?
 
Andiko gani hilo?
Sina haja ya kukujibu ..jipangeni kwanza na waislamu wenzako ndiyo mje na maswali ya msingi ...siku zote waislamu maswali yenu ni dhaifu kutokana na kuyajenga kwa kujidanganya nyinyi kwa nyinyi ...ngoja niwatagi waislamu wenzako wazoefu waje kukupima kama una maswali ya msingi wanitag ...maana haya unayo uliza tulisha yajibu hapa na wao wakapata elimu kubwa hivyo wanajua logic za mambo ... Al-mukheef adriz FaizaFoxy Malaria 2 Mufti kuku The Infinity Jagina Covax njooni mumpime huyu muislamu mwenzenu kama anao uweza na hoja mni tag tuje mzigoni..
 
Sina haja ya kukujibu ..jipangeni kwanza na waislamu wenzako ndiyo mje na maswali ya msingi ...siku zote waislamu maswali yenu ni dhaifu kutokana na kuyajenga kwa kujidanganya nyinyi kwa nyinyi ...ngoja niwatagi waislamu wenzako wazoefu waje kukupima kama una maswali ya msingi wanitag ...maana haya unayo uliza tulisha yajibu hapa na wao wakapata elimu kubwa hivyo wanajua logic za mambo ... Al-mukheef adriz FaizaFoxy Malaria 2 Mufti kuku The Infinity Jagina Covax njooni mumpime huyu muislamu mwenzenu kama anao uweza na hoja mni tag tuje mzigoni..
Ungenipa andiko ingesaidia sana kuliko kuleta ngonjera
 
Sina haja ya kukujibu ..jipangeni kwanza na waislamu wenzako ndiyo mje na maswali ya msingi ...siku zote waislamu maswali yenu ni dhaifu kutokana na kuyajenga kwa kujidanganya nyinyi kwa nyinyi ...ngoja niwatagi waislamu wenzako wazoefu waje kukupima kama una maswali ya msingi wanitag ...maana haya unayo uliza tulisha yajibu hapa na wao wakapata elimu kubwa hivyo wanajua logic za mambo ... Al-mukheef adriz FaizaFoxy Malaria 2 Mufti kuku The Infinity Jagina Covax njooni mumpime huyu muislamu mwenzenu kama anao uweza na hoja mni tag tuje mzigoni..
Jibu swali andiko gani ili tukupe ushindi na ukikosa kuleta andiko unapoteza
 
Kwani we ukinywa maji ukatoka jasho ni jasho ndo limetengeneza maji au maji yametengeza jasho? ?

Nataka kusema nini?

Nataka kusema kuna watu wana macho lakini hawatoona na wana masikio lakini hawatoelewa:

"Wanafunzi wake wakamwendea, wakamwuliza, “Kwa nini unasema na watu kwa mifano?”

Yesu akawajibu, “Nyinyi mmejaliwa kuzijua siri za ufalme wa mbinguni, lakini wao hawakujaliwa.

Maana, aliye na kitu atapewa na kuzidishiwa; lakini yule asiye na kitu, hata kile alicho nacho kitachukuliwa.

Kwao yametimia yale aliyosema nabii Isaya: ‘Kusikia mtasikia, lakini hamtaelewa. Kutazama mtatazama, lakini hamtaona.

Maana akili za watu hawa zimepumbaa, wameyaziba masikio yao, wameyafumba macho yao. La sivyo, wangeona kwa macho yao, wangesikia kwa masikio yao, wangeelewa kwa akili zao, na kunigeukia, asema Bwana, nami ningewaponya."

Mathayo.13.13-15.NENO2025
Ameen mtumishi
 
Back
Top Bottom