Nundu_Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 811
- 349
- Thread starter
- #21
Dhambi ni nini ?Kifo cha Yesu pale msalabani lengo ni kutoa kafara ili Damu na maji vikitoka ndio Mungu ajipatanishe na wanadamu ili kila mwanadamu aweze kuwapata ondoleo la dhambi kupitia maji na damu ya Yesu vilivyomwagika pale msalabani, 1Petro 1:18-20,wakolintho 1:20,Efeso 1:7,