Yesu Kristo kwa kifo chake alimrejeshea binadamu hali ya Kimungu, yaani akili

Inaonekana husomi unachokiandika. Unakanusha kisha unathibitisha.

Hao mtu mwanaume na mtu mwanamke walio umbwa na Mola ni kina nani ?

Ukweli mtu wa kwanza kuumbwa ni Adamu, sasa kama kuna wengine ina bidi mtuambie ni kina nani na kwanini walikuwa ni watu, maana watu ni kwa jinsi ya wana wa Adamu.

Watu ni kwa silika, na unaposema hao watu haijulikani waliitwa kina nani, umeshaonyesha ya kuwa hapakuwa na tamko MTU kabla ya Adamu. Na mtu ni kwa lugha ya Kiswahili kumaanisha Mwana Adamu yaani asili yetu ni kwa Adamu.

“ Ukweli mtu wa kwanza kuumbwa ni Adam”

Je huu ukweli wako ume base kwenye nini ?

And how did you come to the conclusion that the first man was Adam? What is your supporting evidence on this matter that everyone can check!

CAUTION!
Don’t quote anything from Qur’an neither from Bibble.

Thanks
 
Elezea how
Siyo tu kutamka
Kwa kosa la Adam na Hawa, mtu aliondelewa uwezo wa akili, hali ya kimungu.

Mtu aliumbwa kwa mfano na sura ya Mungu. Ndiyo kusema mtu ni mwili na roho aliyeumbwa kushiriki uumbaji wa muumba wake, Mungu.

Roho au wakati mwingine huitwa akili pia moyo ndiyo maarifa yote.

Pasipo akili au roho, mtu anakuwa sawa na mnyama au mimea, hakuna maendeleo yoyote.

Kwa kosa la Adam na Hawa, wazazi wetu wa kwanza lilijeruhi roho au akili.

Kwasababu hiyo uwezo wa mtu kutenda kiakili yaani kimungu uliondoka akawa sawa na wanyama.

Binadamu kwa muda mrefu sana ameishi kama mnyama. Hakuwa na maarifa yoyote.

Kwa karne na karne mtu aliishi kwa kutumia akili ya ufahamu. Hakuweza kuendeleza mazingira.

Kwa ujio wa Yesu Kristo, kwa Kifo chake alimrejeshea binadamu hali ya sura na mfano wa Mungu yaani akili.

Yesu Kristo ndiyo chanzo cha maarifa yote. Ndiyo kwa njia yake binadamu anaweza kupata maarifa.

Maarifa tuliyonayo hii leo, maendeleo tulionayo hii leo ni kwasababu na kwa njia ya Yesu Kristo, Kifo chake.

Kabla ya Yesu Kristo mambo hayakuwa hivi yalivyo hii leo. Hakukuwa na maarifa pia maendeeleo kama haya baada ya Kristo.

Historia kabla ya Kristo haifahamiki kama ilivyo baada ya Kristo.

Hali ya mambo kabla ya Kristo ni ya kukanganya hivi kwamba inategemea maarifa baada ya Kristo kuitafiti.

Binadamu kabla ya Kristo, hata licha ya Mungu Mwenyewe kuwasaidia na wao wenyewe kumwomba Mungu kwa ajili ya ujio wa Kristo, bado hatahivyo, hali yao ya akili haikuwa imerejeshewa hadhi ile ya mwanzo ya kimungu tuliokuwa nayo kabla ya kosa la Adamu na Hawa.

Kwa ujio wa Kristo, kwa Kifo chake, tumerejeshewa hali ya kimungu yaani akili.

Pasipo Yesu Kristo, kifo chake, mtu asingeweza kuwa na maarifa haya tuliyonayo nyakati hizi, maendeleo. Angebaki kama walivyo wanyama.

Hivyo, mtu anaekataa yale Yesu Kristo aliamuru kwa njia ya Kanisa lake yaani mitume hawezi kupata manufaa ya akili.

Kama lilivyo jua chanzo kikuu cha nishati duniani. Yesu Kristo ndiye chanzo cha maarifa na maarifa yenyewe. Yeye ndiye mwanga. Pasipo Yeye hakuna maarifa, wala maendeleo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio utupe ushahidi. Maana watu sisi uzao wa Adamu asili yetu ni udongo, hao watu asili yao ni nini na wapi, na ushahidi wa uwepowa watu hao ni upi.

Pili, kwahiyo simulizi za babeli, zimenukuu Adamu alianzia wapi ?

How did you know that asili yetu ni Udongo ? What is your evidence support.?

Kindly share!

Caution;
Don’t quote anything from Qur an ; neither from Bible.
 
Sio kweli na hili huwezi kulithibitisha. Nakufundisha sasa, na unaonekana ni mchachefu wa maarifa na umeanza kujadili haya mambo hivi karibuni.

Ukristo ndio dini mpya, Adamu alikuwa Muislamu na huyu ndio mtu wa kwanza kuumbwa. Kwa maana hiyo Uislamu haukutanguliwa na dini yoyote hapo kabla.

Pili, sababu ya Mola kuleta mitume ni baada ya binadamu kuanza kufanya ibada kinyume na inavyotakiwa,ndio Allah akaanza kumtuma nabii Nuhu kuja kuwafundisha watu. Hii ina maanisha ya kuwa kabla kulikuwa na dini moja dini ya Uislamu, ila watu wakaanza kukengeuka, ndio Allah akaamua kuchagua mja miongoni mwa waja wake, ili awakumbushe watu warejee katika asili.

Sasa unaposema kulikuwa na dini, inabidi utuambie ilikuwa lini hiyo dini na ilianzishwa na nani ?

How did you know that Adam really existed, and he was Muslim?

When did the word Islam came into existence? Or before the time of Muhammad, 2000 years way back; did the word Islam existed? Kindly confirm, and explain.

And according to your mythical stories in Qur an , when was the man Adam created in relation to the existence of Islam?

Kindly provide the evidence.


CAUTION;
Don’t quote anything from Qur an neither from Bible. Once you quote anything from those scriptures, you will be considered to have breached our discussion.

With Compassion!
 
“ Ukweli mtu wa kwanza kuumbwa ni Adam”

Je huu ukweli wako ume base kwenye nini ?

And how did you come to the conclusion that the first man was Adam? What is your supporting evidence on this matter that everyone can check!

CAUTION!
Don’t quote anything from Qur’an neither from Bibble.

Thanks
Hakuna jibu sahihi nje ya Qur'aan kuhusu uumbaji.

Sasa unapotaka nisitoe ushahidi kwenye Qur'aan,inabidi uniambie nitoe wapi ushahidi nje ya Qur'aan.

Nakuuliza tu swali,umekiri ya kuwa binadamu wa kwanza kuumbwa ni Adamu. Swali umejuaje hilo na aliumbwa na nani ?
 
How did you know that asili yetu ni Udongo ? What is your evidence support.?

Kindly share!

Caution;
Don’t quote anything from Qur an ; neither from Bible.

Sina ushahidi nje ya Qur'aan na Hadithi za mtume wa Allah amani ya Allah iwe juu yake.

Hili angalizo lako limekaa kitoto sana na unaonekana ni muoga sana katika mijadala ya kielimu.

Swali la msingi,haya unayo yaandika unaegemea kwenye vyanzo gani ?
 
How did you know that Adam really existed, and he was Muslim?
Nimejua kupitia Qur'aan.

Nakuuliza,kama hukubali Adamu hakuwahi kuwepo,hili umelijuaje ?
When did the word Islam came into existence? Or before the time of Muhammad, 2000 years way back; did the word Islam existed? Kindly confirm, and explain.
Hata kabla ya Adamu hakuwa ni mwenye kutajika tamko "Uislamu" lilikuwepo.
mythical stories in Qur an ,

Hili mpaka una kufa na tena mkikusanyika wewe na wakubwa zako huwezi kuthibitisha hii kauli.
Kindly provide the evidence.

Kwako wewe "evidence" ina vijenzi gani,yaani ili kitu fulani au jambo fulani au hali iwe ni "evidence" inatakiwa ikidhi vigezo gani ?
CAUTION;
Don’t quote anything from Qur an neither from Bible. Once you quote anything from those scriptures, you will be considered to have breached our discussion.
Kwanini hujibu maswali niliyo kuuliza.

Ukini quote naomba uje na majibu ya maswali niliyo kuuliza. Hatulei ujinga.
 
Hakuna jibu sahihi nje ya Qur'aan kuhusu uumbaji.

Sasa unapotaka nisitoe ushahidi kwenye Qur'aan,inabidi uniambie nitoe wapi ushahidi nje ya Qur'aan.

Nakuuliza tu swali,umekiri ya kuwa binadamu wa kwanza kuumbwa ni Adamu. Swali umejuaje hilo na aliumbwa na nani ?

Now, umeona akili yako inapozunguka eeenh ! That is what we call mental slave.

Emancipate yourself
 
1. YESU KRISTO WA NAZARETH ALIBEBA MASIKITIKO NA HUZUNI ZETU ZOOOOTE. how? Imeandikwa mwenyewe alibeba huzuni zetu zote na masikitiko yetu yote. Hii ilidhihirishwa pale Gethsemane alipokuwa akiomba, alihuzunika kiasi cha kutoa jasho kama matone ya damu. kisayansi inasemekana mtu akihuzunika beyond description anaweza kutoa jasho au machozi ya damu, na Yesu alihuzunika hadi kufikia mwisho kwasababu katika ulimwengu wa roho ili abebe huzuni zetu zote alitakiwa ahuzunishwe hadi point ya mwisho ambayo mwanadamu yeyote huwa anaweza kuifikia katika huzuni na kwa maana hiyo akatimiza andiko kwamba alizibeba huzuni zetu zote na masikitiko yetu yote. hata leo unaweza kuwa na stress, huzuni kubwa lakini mguso wa Roho Mtakatifu moyoni utafikiri umetulizwa kiu kwa maji baridi toka kwenye chungu. huzuni inafutika na kicheko kinakuja. Yesu aweza kufanya hivyo kwako leo na alishamaliza, alisema imekwisha akimaanisha huzuni, masikitiko, mateso na kila kitu kimeshalipiwa deni naye kwani alifanyiwa badala yetu na yeyote amkimbiliaye kwa kumwamini, kumkiri na kuamua kuacha dhambi atamtua mizigo yake yooooooote.

2. ALIDHARAULIWA BEYOND DESCRIPTION ILI SISI TUSIDHARAULIWE: Yesu alidharauliwa, alitemewa mate, alivuliwa nguo mbele ya kamamnasi, alidhihakiwa kwa dharau mbele ya kadamnasi, alifanywa yoote kuondoa utu wake badala yetu, alitukanwa mbele ya kila mtu. hii yote ilifanyika ili awe amebeba yote ambayo sisi tungefanyiwa, ukimkimbila aweza kuondoa kudharauliwa kwako; hata kama umedharaulika mno labda kwasababu hauna pesa, hauna watoto, hauna kazi, hauna nyumba, hauna chochote, una historia mbaya ya umalaya, ujambazi n.k Yesu alidharauliwa beyond description hivyo ili wale watakaomwamini wasidharauliwe. Trust me, niliwahi kudharauliwa kuwa mimi ni masikini nisiye na kazi hadi watoto wadogo walinidharau na nilifika kipindi hadi nikitembea njiani nilihisi majani/manyasi nayo yamenidharau. watu niliowaamini wangenitia moyo au wale niliowasaidia hadi wakafika pazuri walifika hatua kunidharau kuwa sina kitu mbele za watu na kunidhihaki. lakini Mungu alikuja kubadilisha kibao akarudisha miaka yangu yote iliyoliwa na parare na madumadu, sasahivi nimewazidi mbali mno na wanahangaika kunitafuta walau kupitia na wakifika lazima waruhusiwe na ps wangu ambaye ni strict.

3. ALIPATA MAUMIVU NA MATESO MAKALI KUPITA KIASI: Ili sisi tu sipate mateso hayo. amini usiamini, kiroho alishayabeba yote, hata kama kimwili utaumia kwa muda lakini utashangaa kiroho unashangilia. angalia kile kilichotokea kwa Stefano wakati alipopigwa mawe kwa ajili ya imani, alishangilia kifo. mateso ya Yesu yalikuwa makali mno, alipigwa mijeledi mbele za watu, mijeledi ile ilikuwa ya kirumi yenye misumari ikipigwa inatoka na nyama, Biblia inasema "na kwa kupigwa kwake sisi tumepona". Ilikuwa lazima afanyiwe vile ili mwili upate maumivu na mateso na maumivu makalii hadi point ya mwisho, ili kubeba maumivu yote ambayo mwanadamu angeweza kukutana nayo. ukiumwa unaeza kupata maumivu, kuna wakati mwili unaweza kupata maumivu, lakini kiroho yote hayo Yesu aliyabeba, na huwa inadhihirishwa kimwili pale unapomwamini kuwa atafanya. hata leo hii Yesu anaweza kukuponya magonjwa yako yote kwasababu alijeruhiwa kwa makosa yetu, alichubuliwa kwa maovu yetu, adhabu ya amani yetu ilikuwa juu yake na kwa kupigwa kwake sisi tumepona. kumbuka kwamba, imeandikwa mshahara wa dhambi ni mauti bali karama ya Mungu ni uzima wa milele, lakini Yesu alijeruhiwa ili sisi tupone magonjwa yetu na tupone na kifo kwasababu alishinda kifo kwa kufufuka, yu Hai hivyo kifo na mauti havina uwezo juu ya wale wanaomwamini na kumfuata. ukitaka kuamini hayo kamuulize mchawi anayeoperate kiroho atakuambia amejaribu mno kuwaloga watu waliookoka wafe lakini uchawi ulishindwa. pia ilikuwa lazima apigwe sana mwili upate maumivuuuuu, ajeruhiwe apate maumivuuu ili awe amebeba maumivu yote ambayo mwanadamu angeweza kukutana nayo, na hayo yote Yesu alimaliza ndio maana alisema imekwisha, deni lote alilipa kwa ajili yako.

4. ALIMWAGA DAMU NYINGI SANA KAMA KAFARA KWA AJILI YANGU MIMI NA WEWE: Enzi za zamani, Mungu alipatana na wanadamu kwa njia ya kafara la kumwaga damu za wanyama kutokana na dhambi ulizozitenda. lakini tangu awali alipanga kuja kutoa kafara moja tu once and for all, kafara la Damu ya Yesu. imetabiriwa mno sitaweka mistari hapa hadi aje mtu mbishi ndio nitaweka, nataka haya niandikayo yatoshe hapa. zaidi ya kumwaga damu, lakini aliuawa kama mwanakondoo wa Mungu ili kuichukua dhambi ya ulimwengu wote, na alifanya hivyo. Isaya 53 kasome, hadi wayahudi imefika kipindi sura hii wanashindwa kuikwepa kwasababu ilitabiriwa miaka mingi sana kabla ya kuzaliwa kwake. hii inadhihirishwa na utendaji kazi wa Damu ya Yesu, Ufunuo 12:11 imeandikwa "nao wakamshinda shetani kwa Damu ya Mwana Kondoo na kwa Neno la Ushuhuda wao". Damu ya Yesu hata leo hii ukiitia inaponya, inafukuza mapepo, inafukuza majini, inafukuza magonjwa, inafukuza wachawi, inafungua vifungo vyote, inaweza kukuweka huru. hii ni kwasababu Shetani mwenyewe kama mwanasaheria anayefuata sana sheria, anajua mbele ya Damu ya Yesu kila deni lililipwa, deni la magonjwa, deni la vifungo, deni la mateso, umasikini, etc vililipwa, ukiona anakushikilia ujue anakutapeli ila ukimwendea kwa Damu ya Yesu atoke kwa kumpa ushuhuda kwamba Yesu alilipa deni lote hivyo shetani hakudai kitu, huwa hana namna anaondoka. pia hili ni Bom, kama kweli moyoni upo na Mungu ukimtamkia tu ni moto ulao ataondoka bila hata kuomba ruhusa kwasababu itamuunguza.

5. YESU ALIKUFA NA KUFUFUKA, AMESHINDA MAUTI NA KUZIMU", ilishatabiriwa kuwa siku ya tatu atafufuka. na kweli alifufuka akaishi hapa duniani siku 40 ndio akapaa. Ilikuwa lazima afe kabisa kabisa akate roho, ili Neno litimie, ili kafara la dhambi zetu litimie, alishuka kuzimu akamnyang'anya shetani funguo za mauti na kuzimu, anazo, sio funguo kama hizo za mlangoni kwako, na NGUVU NA MAMLAKA, hivyo Yesu na kwa Jina lake tunayo mamlaka juu ya mauti na kuzimu, hautakufa kama Mungu hajaamua kama utakuwa ndani ya Yesu, nguvu za kuzimu hazina nguvu kwako hadi pale utakapowapa nafasi wewe mwenyewe. imeandikwa, kwa Jina la Yesu kila goti litapigwa la vitu vilivyoko juu, vilivyoko duniani na vilivyoko chini ya nchi, na kila ulimi ukiri kwamba Yesu Kristo ni Bwana. kwanini tunasema alikufa? baada ya kukata roho, askari wa kirumi alimchoma mkuki ubavuni damu na maji vikatoka. kutoka maji ni udhihirisho kwamba kafa. mtu akifa au mnyama yeyote akifa ukimtoboa utaona damu na maji vimeanza kugawanyika, hivyo kwa kutoka damu na maji ilithibitisha kwamba Yesu alikufa. lakini baada ya siku tatu alifufuka kwa kuishinda mauti, mauti haikuwa na nguvu kumshikilia, ndio maana hata kufufuka kwake hata walinzi wa kaburi walishughulikiwa. hii ina maana kwamba anazo nguvu kushinda mauti juu yako ili usife kama utamkaribisha maishani mwako. Hautakufa bali utaishi uyasimulie matendo makuu ya Mungu.

6. ALIPAA MBINGUNI NA ATARUDI TENA: Yesu alipaa mbinguni, lakini kiroho anaishi na wale wanaomwamini hapa duniani pia. atarudi tena kuwachukua wale wanaomwamini, na kuihukumu dunia. Biblia inasema dhambi ya kwanza ambayo watu watahukumiwa nayo ni ile ya kumkataa/kutomwamini Mwana wa Mungu (Yesu Kristo wa Nazareth), hii ni kwasababu alitoa gharama kubwa sana ya uhai wake lakini watu walimkataa. kataa usiwe na dhambi hii. pia ameenda kuandaa makao ili pale alipo nasi tuwepo baada ya hukumu pale atakapo wagawanya watu kama vile mchungaji agawanyavyo koondoo na mbuzi, kondoo mkono wa kulia na mbuzi mkono wa kushoto, wengine wapate uzima wa milele na wengine aibu na kudharauliwa milele. Amini nakuambieni, ukiona leo hii u mzima, unapumua, unao uwezo kuongea, jua Mungu anakupenda. Neno la Mungu linasema WEMA WA MUNGU UNATUHIFADHI ILI PENGINE MAISHA YETU YATABADILIKA, tunamtenda dhambi Mungu anatuangalia tu sio kwamba hakasiriki au hana uwezo kutusambaratisha, anatuacha tu kutupatia chance nyingine pengine tutabadilika kwasababu Mungu anachukia kifo cha mtu mwenye dhambi anataka wote watubu na kuacha uovu ili wasiangamie. hivyo unakumbushwa tafakari maneno haya, mpokee Yesu awe Bwana na Mwokozi wa Maisha yako ingali chance ipo, kuna watu wapo ICU hata kunyanyua ulimi waseme Yesu nisamehe dhambi au nipokee huko mbinguni haawana, na ili uokoke lazima ukiri kwa kinywa chako na uamini moyoni. kuna nguvu na mlango katika ukiri. hivyo leo nenda chumbani kwako, piga magoti, kama hujaokoka tafuta waliookoka wakusaidie maombi, kama tayari na unajujia hueleweki vizuri piga magoti omba kwa moyo wako woote wa ndani kabisa, ongea na Mungu na dhamiria kuacha uovu.

7. JINA LA YESU HALIFANYI KAZI KWA WADHAMBI: kuna kipindi raia wa kawaida kadhaa waliimitate yale yanayofanywa na mitume/paulo, wakawa wanaenda kwa wenye mapepo wanasema "kwa jina la Yesu yule anayehubiriwa na kina Paulo toka" mapepo hayakuwasikia, yaliwasambaratisha wengine waliondoka bila nguo. hii ina maana kwamba, yote yaliyosemwa hapo juu huna haki nayo na hayatafanya kazi kwako kama hautakuwa part and parcel of Yesu, lazima uungane naye akae moyoni mwako ndipo utakuwa na mamlaka ya kutumia Jina la Yesu na Damu ya Yesu. hii inadhihirishwa na watu wa dinia mbao wamesoma sana dini, wamekariri sana mistari ya Biblia, wamesoma miaka mingi seminari huko lakini hawana nguvu za Mungu kwasababu Mungu hayupo mioyoni mwao. kwahiyo ili uinjoy matunda ya Jina la Yesu na Damu ya Yesu, lazima uokoke, ujazwe Roho Mtakatifu na uishi maisha matakatifu, usiishi kidini, usiwe farisayo, ishi Kiroho, abudu kiroho, imba kiroho etc.

MUNGU AWABARIKI, MWENYE SIKIO NA ASIKIE, NIMENAWA MIKONO, DAMU YENU HAITADAIWA JUU YANG
 
Kifo cha Yesu pale msalabani ilikuwa ni ukombozi kwa wanadamu kutokana na ile dhambi liyoifanya ADAM pale bustan ya Eden wanadamu tulikombolewa kutoka kwenye laana ya dhambi iliyotokea bustani ya eden ,ukisoma vizuri agano la kale utaona baada ya Mwanadamu kufanya dhambi pale bustan ya eden aliwekwa mbali na uwepo wa Mungu,so Mungu aliweka utaratibu wa kujipatanisha na mwanadamu kupitia kafara za wanyama kama kondoo,na ng'ombe kama aina flani ya kiashiria kuwa ile damu ya yule mnyama inayomwagika ndio inazibeba zile dhambi kwa lugha nyingine wanadamu walikuwa wakitoa hii sadaka ya kuteketezwa wanakiri dhambi zao kwa huyo mnyama halafu huyo mnyama ndio anazibeba hizo dhambi na kuchinjwa au kutolewa kafara na makuhani ambapo ile damu ya huyo mnyama inafanya upatanisho baina ya wanadamu na Mungu
kupitia Mitume wake Mungu alianza kuwaambia wanadamu kuwa atafanya kitu kipya duniani kupitia mtoto atakaye zaliwa na mwanamke bikira! yeremia 31:20..,manabii wengi sana walitabiri ujio wa Yesu kondoo wa kafara wengine walimtabiri kama mzabibu kwenye shina la yese maana zabibu ikikamuliwa inatoa maji maji kama damu,Yohana 1:29 alimuona yesu kama mwanakondoo wa Mungu aichukuaye dhambi ya ulimwengu!!!!,Yesu alikuja duniani kutufundisha namna ya kuishi maisha matakatifu hapa duniani kuanzia kuzaliwa kwake hadi siku ile anaenda kufa pale msalabani alituwekea mfano wa sisi kufuata Yohana 13:15! na Muda ulipofika alitolewa kafara pale msalabani na Mungu mwenyewe ili Mungu aweze kujipatanisha na wanadamu!!
Kifo cha Yesu pale msalabani ilikuwa ni kafara ya Mungu kujipatanisha na Wanadamu kupitia DAMU NA MAJI VILIVYOMWAGIKA PALE MSALABANI BAADA YA YESU KUCHOMWA UBAVUNI,maandiko mengine yanasema Mungu alikuwa ndani ya Kristo Yesu akiupatanisha ulimwengu na yeye 2 wakorinto 5:19,na pia maandiko yanasema Tumekombolewa kwa Damu iliyomwagika msalabani (Waefeso 1:7; Wakol.1:20; 1 Petro 1:19; Ufunuo 5:19; Waebrania 9:12),Na pia maandiko yanasema bila kumwagika kwa damu pale msalabani hakuna ondoleo la dhambi!!!!
hayo mengine uliyoandika yoote hayana uhusiano na kifo cha Yesu msalabani kama hayahusishi ondoleo la dhambi! umejiandikia tu mtu wa watu
 
Mada ngumu kueleweka naona mnabishana kwa hoja nzito inabid uwe na akili kubwa kuelewa mada hii
 
Hivi huu UONGO huwa mnashindwa hata kujistukia ? Mnausambaza tu ?

Hao mitume wakina Musa,Ibrahim,Dawood na wengine walikuwa hawana maarifa ?

Unaposema binadamu kushiriki uumbaji wa Mola ni kwa namna ipi ?

Nani alikwambia Mola alimuumba Adamu kwa sura yake ? Hapa kuna tatizo la lafudhi na maana ya kauli. Mola hafanani na kitu chochote.

Unaongelea maendeleo gani ? Au mathalani Yesu ana mchango gani katika maarifa ya ujenzi ? Umeme ? na mfano wake ?

Ni zipi sifa za mtu mwenye akili ?

Hali ya kimungu mliyo kuwa nayo kabla ni hali gani na kipi kilikuonyesha hali hiyo ?

Sasa mbona baada ya Yesu mambo yameendelea kukanganya sana katika upande wa dini yenu ya kipagani huku mkitumia kivuli cha mtume Issa/Yesu,mbona leo hii hamuwajui waandishi wa vitabu vyenu mnavyo viamini ajabu mna vifata ? Huu ni mkanganyo au sio mkanganyo ?
Unabwabwaja kama Al Shabaab, Boko Haram au Taliban.

Wewe ni Shia au Sunni?
 
Kwa kosa la Adam na Hawa, mtu aliondelewa uwezo wa akili, hali ya kimungu.

Mtu aliumbwa kwa mfano na sura ya Mungu. Ndiyo kusema mtu ni mwili na roho aliyeumbwa kushiriki uumbaji wa muumba wake, Mungu.

Roho au wakati mwingine huitwa akili pia moyo ndiyo maarifa yote.

Pasipo akili au roho, mtu anakuwa sawa na mnyama au mimea, hakuna maendeleo yoyote.

Kwa kosa la Adam na Hawa, wazazi wetu wa kwanza lilijeruhi roho au akili.

Kwasababu hiyo uwezo wa mtu kutenda kiakili yaani kimungu uliondoka akawa sawa na wanyama.

Binadamu kwa muda mrefu sana ameishi kama mnyama. Hakuwa na maarifa yoyote.

Kwa karne na karne mtu aliishi kwa kutumia akili ya ufahamu. Hakuweza kuendeleza mazingira.

Kwa ujio wa Yesu Kristo, kwa Kifo chake alimrejeshea binadamu hali ya sura na mfano wa Mungu yaani akili.

Yesu Kristo ndiyo chanzo cha maarifa yote. Ndiyo kwa njia yake binadamu anaweza kupata maarifa.

Maarifa tuliyonayo hii leo, maendeleo tulionayo hii leo ni kwasababu na kwa njia ya Yesu Kristo, Kifo chake.

Kabla ya Yesu Kristo mambo hayakuwa hivi yalivyo hii leo. Hakukuwa na maarifa pia maendeeleo kama haya baada ya Kristo.

Historia kabla ya Kristo haifahamiki kama ilivyo baada ya Kristo.

Hali ya mambo kabla ya Kristo ni ya kukanganya hivi kwamba inategemea maarifa baada ya Kristo kuitafiti.

Binadamu kabla ya Kristo, hata licha ya Mungu Mwenyewe kuwasaidia na wao wenyewe kumwomba Mungu kwa ajili ya ujio wa Kristo, bado hatahivyo, hali yao ya akili haikuwa imerejeshewa hadhi ile ya mwanzo ya kimungu tuliokuwa nayo kabla ya kosa la Adamu na Hawa.

Kwa ujio wa Kristo, kwa Kifo chake, tumerejeshewa hali ya kimungu yaani akili.

Pasipo Yesu Kristo, kifo chake, mtu asingeweza kuwa na maarifa haya tuliyonayo nyakati hizi, maendeleo. Angebaki kama walivyo wanyama.

Hivyo, mtu anaekataa yale Yesu Kristo aliamuru kwa njia ya Kanisa lake yaani mitume hawezi kupata manufaa ya akili.

Kama lilivyo jua chanzo kikuu cha nishati duniani. Yesu Kristo ndiye chanzo cha maarifa na maarifa yenyewe. Yeye ndiye mwanga. Pasipo Yeye hakuna maarifa, wala maendeleo.
Hiyo Hari ya kimungu,tuliipata wote,weusi na wazungu?
Kama tuliipata wote,ilikuwaje Hawa wenzetu walikuja Afrika,wakatutawala,wakatuuza,wakatufanya watumwa?na mpaka leo Bado wanatutawala,?
 
Kwa kosa la Adam na Hawa, mtu aliondelewa uwezo wa akili, hali ya kimungu.

Mtu aliumbwa kwa mfano na sura ya Mungu. Ndiyo kusema mtu ni mwili na roho aliyeumbwa kushiriki uumbaji wa muumba wake, Mungu.

Roho au wakati mwingine huitwa akili pia moyo ndiyo maarifa yote.

Pasipo akili au roho, mtu anakuwa sawa na mnyama au mimea, hakuna maendeleo yoyote.

Kwa kosa la Adam na Hawa, wazazi wetu wa kwanza lilijeruhi roho au akili.

Kwasababu hiyo uwezo wa mtu kutenda kiakili yaani kimungu uliondoka akawa sawa na wanyama.

Binadamu kwa muda mrefu sana ameishi kama mnyama. Hakuwa na maarifa yoyote.

Kwa karne na karne mtu aliishi kwa kutumia akili ya ufahamu. Hakuweza kuendeleza mazingira.

Kwa ujio wa Yesu Kristo, kwa Kifo chake alimrejeshea binadamu hali ya sura na mfano wa Mungu yaani akili.

Yesu Kristo ndiyo chanzo cha maarifa yote. Ndiyo kwa njia yake binadamu anaweza kupata maarifa.

Maarifa tuliyonayo hii leo, maendeleo tulionayo hii leo ni kwasababu na kwa njia ya Yesu Kristo, Kifo chake.

Kabla ya Yesu Kristo mambo hayakuwa hivi yalivyo hii leo. Hakukuwa na maarifa pia maendeeleo kama haya baada ya Kristo.

Historia kabla ya Kristo haifahamiki kama ilivyo baada ya Kristo.

Hali ya mambo kabla ya Kristo ni ya kukanganya hivi kwamba inategemea maarifa baada ya Kristo kuitafiti.

Binadamu kabla ya Kristo, hata licha ya Mungu Mwenyewe kuwasaidia na wao wenyewe kumwomba Mungu kwa ajili ya ujio wa Kristo, bado hatahivyo, hali yao ya akili haikuwa imerejeshewa hadhi ile ya mwanzo ya kimungu tuliokuwa nayo kabla ya kosa la Adamu na Hawa.

Kwa ujio wa Kristo, kwa Kifo chake, tumerejeshewa hali ya kimungu yaani akili.

Pasipo Yesu Kristo, kifo chake, mtu asingeweza kuwa na maarifa haya tuliyonayo nyakati hizi, maendeleo. Angebaki kama walivyo wanyama.

Hivyo, mtu anaekataa yale Yesu Kristo aliamuru kwa njia ya Kanisa lake yaani mitume hawezi kupata manufaa ya akili.

Kama lilivyo jua chanzo kikuu cha nishati duniani. Yesu Kristo ndiye chanzo cha maarifa na maarifa yenyewe. Yeye ndiye mwanga. Pasipo Yeye hakuna maarifa, wala maendeleo.
Umechanganya madawa sana mkuu.Binadamu ana vitu vitatu,infact vinne kufuatana na his/her spirituallity
1.The soul which was created first and is the human,the you.
2.Pumzi hai,ambapo ndipo akili ilipo
3.The body,that is your house,which is temporary.
4.The Holly Spirit or Domonic entities depending on your spirituallity.

Kazi ya hivyo vitu vinne ni nini?
The Soul is actually you,and the body is your house.The Soul is the part which will undergoes punishment, because it is the part which controls the mind and therefore the body.If the Soul does not conform to Gods' wishes, the body will not because it is the Soul which controls the body through the mind.

The Spirit au pumzi hai is actually the part of God inside you,because it comes from Him.
This is the part which makes it possible to appreciate the things of God.It is no surprise that this is therefore where the mind is.At this point I should say that the mind is the battle ground for demonic entities,who ever controls the mind through the Soul,also controls the body.

What did the shedding of Jesus Christs' blood at the cross do or mean for us,it brought back Jesus believing people back to Gods' original plan,that is being made the children of God.That is through Adam we were made daughters and sons of Satan,and through Jesus we have been made children of God. Trough the help of the Holly Spirit,your Soul has now the capacity to kick out any demonic entities from your house,that is your body.In this way your Soul can control your mind and body.

May be it will be of interest for you to know that recent scientific developments have made it possible for scientists to identify the God Gene or VMAT2 in a gland called the Pineal Grand at the rear bottom of your brain.It is in this gland where the mind,spirit and the soul are located.In fact part of the SARS-COV-2 agenda is to destroy the gene,so that we are no longer able to suppress the things of God!



 
Back
Top Bottom