Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,478
- 39,999
Na kwa kuendelea kujadili suala hili tuna prove either tunakubaliana na Marmo kuwa jambo hili ni muhimu kwa Tanzania na dunia kwa ujumla au na sisi pia ni vilaza tunapoteza muda kujadili irrelevant issues...
Take ur pick pls
Waziri wa nchi ofisi ya Rais anayeshughulikia Utawala Bora Bw. Phillip Marmo ametangaza kuwa ni msimamo wa serikali ya Tanzania kuwa Palestina lazima iwe na nchi yao na "Jerusalemu iwe makao makuu yake". Alizungumza hayo katika mkutano wa "Siku ya Mshikamano na Wapelestina" iliyoadhimishwa kwenye Chuo Kikuu cha Dar-es-Salaam...
i don't suppot this
Waziri wa nchi ofisi ya Rais anayeshughulikia Utawala Bora Bw. Phillip Marmo ametangaza kuwa ni msimamo wa serikali ya Tanzania kuwa Palestina lazima iwe na nchi yao na "Jerusalemu iwe makao makuu yake". Alizungumza hayo katika mkutano wa "Siku ya Mshikamano na Wapelestina" iliyoadhimishwa kwenye Chuo Kikuu cha Dar-es-Salaam...