Yerusalemu Iwe makao Makuu wa Palestina - Serikali ya Tanzania

Tanganyika ingekuwepo isingekuwa na msimamo huo !
...maamuzi yetu mengi yanatoka Zanzibar
 
Waziri wa nchi ofisi ya Rais anayeshughulikia Utawala Bora Bw. Phillip Marmo ametangaza kuwa ni msimamo wa serikali ya Tanzania kuwa Palestina lazima iwe na nchi yao na "Jerusalemu iwe makao makuu yake". Alizungumza hayo katika mkutano wa "Siku ya Mshikamano na Wapelestina" iliyoadhimishwa kwenye Chuo Kikuu cha Dar-es-Salaam...
Ndiyo msimamo wa nchi nyingi duniani.
 
kwenye red umepotoka mkuu hujamsoma MMK Kasema kwenye green Waziri wa nchi ofisi ya Rais anayeshughulikia Utawala Bora Bw. Phillip Marmo na sio kwenye red yako apo chini, najaribu kuweka sawa tuu


Hawa nao wakikosaga vitu vya kuongea kwenye hotuba ndio huwa wanaweweseka namna hii!

Mkuu heshima mbele, haya mambo mengine mimi huwa ninasema bora kunyamaza tu, na kuwaachia wakubwa wa dunia waamue, I mean as if kuna mtu duniani anajali msimamo wetu kuhsu Palestina,

Hawa kina Marmo, hawa yaaani ni vichekesho tu basi si angemuachia tu Membe haya, angalau maana waziri wa ofisi ya rais na usalama, anahusika vipi Palestina!

Bongo bwana yaani huu ujiko wa siasa utatufikisha mbali sana!
 
HII KWA CCM INAWEZEKA MBONA PEACE OF CAKE. MMK Sijakusoma siku nyingi mkuu ndio wameku release au??? nimemiss comments zako mkuu


Waziri wa nchi ofisi ya Rais anayeshughulikia Utawala Bora Bw. Phillip Marmo ametangaza kuwa ni msimamo wa serikali ya Tanzania kuwa Palestina lazima iwe na nchi yao na "Jerusalemu iwe makao makuu yake". Alizungumza hayo katika mkutano wa "Siku ya Mshikamano na Wapelestina" iliyoadhimishwa kwenye Chuo Kikuu cha Dar-es-Salaam...
 
Hiyo ni sawa sawa na kusema tuwape Waganda mkoa wa Kagera ili tuishi kwa amani na jirani zenu which is insane and completely ridiculous,Jerusalem will never be given to Palestine, It's as holy place to Christians as Mecca and Medina is to Muslims.
 
jamani tuacheni kuchonga, huu m simamo wa Tanzania si wa leo wala jana.

huyu just kaukumbushia tu. ila msimamo huu toka wakati wa mwalimu. na ilikuwa mikutano mingi ya CCm viongozi wa palestina hasa PLO hualikwa hasa Hayati Yassir Arafat.

mkjj nnaamini unalijua hili sana tu. na kuna kipindi uhusiano wetu ulikuwa mbaya sana na waisrael kwa suala hili.


tuacheni upayakwaji usio na maana, na hapo palikuwa ni hafla ya palestina na ndio mahala pake kuonesha jinsi gani ss ndugu zao tunavyowaunga mkono ktk harakati za kujikomboa na kuundwa taifa lao.

tangu lini sisi tukawa ni ndg wa Palestina? Jing kwel
 
Msimamo wa kuwachagulia nch nyingine eneo la kuwa makao makuu? Wakikataa kuweka makao makuu ya Jerusalem uhusiano unavunjika. Akili za kilukuvilukuvi tu
 
Pengine wakristo wa Tanzania ndio wenye IQ ndogo kuliko wote duniani, pengine ni kwa sababu ya Mungu wao kuwa Mzungu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom