Hawa nao wakikosaga vitu vya kuongea kwenye hotuba ndio huwa wanaweweseka namna hii!
Mkuu heshima mbele, haya mambo mengine mimi huwa ninasema bora kunyamaza tu, na kuwaachia wakubwa wa dunia waamue, I mean as if kuna mtu duniani anajali msimamo wetu kuhsu Palestina,
Hawa kina Marmo, hawa yaaani ni vichekesho tu basi si angemuachia tu Membe haya, angalau maana waziri wa ofisi ya rais na usalama, anahusika vipi Palestina!
Bongo bwana yaani huu ujiko wa siasa utatufikisha mbali sana!
Hii nchi ina vituko vingi. Kwani huyu jamaa kuna mtu alimshikia bomu au bunduki hadi akaongea huu upuuzi?