Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,460
- 39,928
Waziri wa nchi ofisi ya Rais anayeshughulikia Utawala Bora Bw. Phillip Marmo ametangaza kuwa ni msimamo wa serikali ya Tanzania kuwa Palestina lazima iwe na nchi yao na "Jerusalemu iwe makao makuu yake". Alizungumza hayo katika mkutano wa "Siku ya Mshikamano na Wapelestina" iliyoadhimishwa kwenye Chuo Kikuu cha Dar-es-Salaam...