Hao wakwako, ... sasa hivi wanafanya ujasusi CCM kabla hawajarudi CDM!Kishimbe wa Kishimbe tunaomba maoni yako
Kashindwa Halima Mdee ndio wawe Hawa?Hao wakwako, ... sasa hivi wanafanya ujasusi CCM kabla hawajarudi CDM!
🤣
Yeriko Nyerere Huwa mnampa umuhimu ambao hana, mimi huwa namuona ni mpumbavu mmoja kama akili za wafuasi wa wafiraji na watekaji humu jf.Anatuhumiwa kushirikiana na Katibu Mkuu Salum Mwalimu aliyekalia kuti kavu kuunga Mikono ccm pamoja na kutafuna hela za Chama
Tulionya Mapema sana kuhusu madhara ya laana ya Usaliti lakini tulipuuzwa
Tunaomba lolote limkute, Amina
porojo za chadema HQ bana dahAnatuhumiwa kushirikiana na Katibu Mkuu Salum Mwalimu aliyekalia kuti kavu kuunga Mikono ccm pamoja na kutafuna hela za Chama
Tulionya Mapema sana kuhusu madhara ya laana ya Usaliti lakini tulipuuzwa
Tunaomba lolote limkute, Amina

Chaumma ni genge la wahuni lililowaingiza mkenge akina dada nilikuwa nawaona ni political assets akina Kiwanga,madoga na Catherine Ruge sasa hao kina Dada hatuwataki chadema ni bora wakafie mbele.Fitina na majungu ya chadema yamegombanisha chama makini kinachoibuka kwa kasi sana chaumma!
Nguruwe wa kizimkazi mmeshtukiwa hadi na chaumma hahahahaaaa, piga hao mamluki wa wafiraji na watekaji.porojo za chadema HQ bana dah![]()
kwamba nonsense za kutafuta kiki na public sympathy zimewashinda na mmeamua kuhamia chummaNguruwe wa kizimkazi mmeshtukiwa hadi na chaumma hahahahaaaa, piga hao mamluki wa wafiraji na watekaji.

Wote hao ni walewale tuu.. Hii ni michezo yao na chamq cha majambazi kututoa kwenye reliAnatuhumiwa kushirikiana na Katibu Mkuu Salum Mwalimu aliyekalia kuti kavu kuunga Mikono ccm pamoja na kutafuna hela za Chama
Tulionya Mapema sana kuhusu madhara ya laana ya Usaliti lakini tulipuuzwa
Tunaomba lolote limkute, Amina
Wazazi wako masikini nawapa pole. Basi ndiyo majaliwa yao ya kukuzaa. Wafanyeje masikiniFitina na majungu ya chadema yamegombanisha chama makini kinachoibuka kwa kasi sana chaumma!
Ni Aibu sana
Chadema hawana muda mchafu kuhangaika na wasaliti waliolaaniwa. Chadema wako bize kueneza elimu ya uraia kwa Watanganyika.Fitina na majungu ya chadema yamegombanisha chama makini kinachoibuka kwa kasi sana chaumma!
Rudisheni hela za Chama we na Mwenzako mpenda Mizimu.Fitina na majungu ya chadema yamegombanisha chama makini kinachoibuka kwa kasi sana chaumma!
ANkaLi T aendelee kulima bamia tu huko mbutu siasa zishamshinda.Anatuhumiwa kushirikiana na Katibu Mkuu Salum Mwalimu aliyekalia kuti kavu kuunga Mikono ccm pamoja na kutafuna hela za Chama
Tulionya Mapema sana kuhusu madhara ya laana ya Usaliti lakini tulipuuzwa
Soma Pia: Sekretarieti ya CHAUMMA Yawasilisha Waraka wa Kutokuwa na Imani na Salum Mwalimu
Tunaomba lolote limkute, Amina
Hashim Rungwe yeye alishachukua mpunga wake mrefu na akapewa V8 jipyaaa akawaachia Chaumma wahangIke nayo hao wasaliti.Hashimu Rungwe anashangaza sana
Hatari sanaHashim Rungwe yeye alishachukua mpunga wake mrefu na akapewa V8 jipyaaa akawaachia Chaumma wahangIke nayo hao wasaliti.