Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 141,412
- 283,622
- Thread starter
- #61
Aliwahi kuongoza mapambano ganiCHADEMA impigie magoti jasusi la bamia toka Mbutu ili arudi chamani kuongoza mapambano.
Aliwahi kuongoza mapambano ganiCHADEMA impigie magoti jasusi la bamia toka Mbutu ili arudi chamani kuongoza mapambano.
Ruge ndiyo kabisaaa kajififisha Kisiasa mwenyewe,sijui haraka ya nini!?2020 Catherine Ruge aliwapiga mwereka CCM Ubunge Jimbo la Serengeti,tena kibabe na Laivu ya bila chenga...Magufuli akaduwaa na akatoa amri atangazwe wa CCM..Chaumma ni genge la wahuni lililowaingiza mkenge akina dada nilikuwa nawaona ni political assets akina Kiwanga,madoga na Catherine Ruge sasa hao kina Dada hatuwataki chadema ni bora wakafie mbele.
Kumbe jamaa ni mhudumu wa gesti bubu huko MboziNamfananisha na bff wako