Tetesi: Yerricko Nyerere kutimuliwa CHAUMMA

Tetesi: Yerricko Nyerere kutimuliwa CHAUMMA

Anatuhumiwa kushirikiana na Katibu Mkuu Salum Mwalimu aliyekalia kuti kavu kuunga Mikono ccm pamoja na kutafuna hela za Chama

Tulionya Mapema sana kuhusu madhara ya laana ya Usaliti lakini tulipuuzwa

Soma Pia: Sekretarieti ya CHAUMMA Yawasilisha Waraka wa Kutokuwa na Imani na Salum Mwalimu

Tunaomba lolote limkute, Amina
CHAUMMA ni jumuia ya CCM kama zilivyo UVCCM na UWT hivyo waache hizo drama zao kana kwamba nao ni chama cha siasa, hiyo michezo wakawachezee watoto wao majumbani mwao.
Chama hicho kilianzishwa na CCM na kuwa financed na CCM na kinaendeshwa na kugharamiwa na CCM.
 
CHADEMA impigie magoti jasusi la bamia toka Mbutu ili arudi chamani kuongoza mapambano.
 
Back
Top Bottom