Yeriko Nyerere aendelea kusota rumande

Yeriko Nyerere aendelea kusota rumande

Huyo ni type za kina Msigwa tena cha iringa na baba yake anaitwa Msambila masikini tu kama wazazi wetu, badala ya kufanya kazi halali awasaidie wazazi wake, kimekuwa kinajichomeka chomeka kwenye porojo za siasa ambazo hata Clinton Mhowe au hata Fred Lowassa hawezi kufanya. Hakina undugu na Nyerere hata wa ku GOOGLE
Du kumbe ndivyo hivyo. So sad. Ila huwa wanasema eti watu wafupi wana matatizo ya kupenda kujikweza
 
Sasa atakuwa kada kamili wa chama, amejitwalia hadhi ya juu katika chama ya kulala mahabusu. Hongera zao wenye uwezo finyu wa kupambanua mambo.
 
Huyo ni type za kina Msigwa tena cha iringa na baba yake anaitwa Msambila masikini tu kama wazazi wetu, badala ya kufanya kazi halali awasaidie wazazi wake, kimekuwa kinajichomeka chomeka kwenye porojo za siasa ambazo hata Clinton Mhowe au hata Fred Lowassa hawezi kufanya. Hakina undugu na Nyerere hata wa ku GOOGLE
mkuu kumbe unapajua pale kwao iringa .sijui mzazi wake alikuwa na shida ya figo hivi alishapona?
 
Huyo ni type za kina Msigwa tena cha iringa na baba yake anaitwa Msambila masikini tu kama wazazi wetu, badala ya kufanya kazi halali awasaidie wazazi wake, kimekuwa kinajichomeka chomeka kwenye porojo za siasa ambazo hata Clinton Mhowe au hata Fred Lowassa hawezi kufanya. Hakina undugu na Nyerere hata wa ku GOOGLE
mkuu kumbe unapajua pale kwao iringa .sijui mzazi wake alikuwa na shida ya figo hivi alishapona?
hawa ni watoto WA ccm wanadhani ni niwa kudumu
Labda walikuwa wanamtaka akawachomolea.
Inchi ikiwa na watu wa akili kama hizi mia moja tu. haiwezi piga hatua kwa lolote.
Wewe ZumbuNjiwa au ZumbuKwale ulikamatwa lini?
 
Chadema Wako wapi kutoa tamko kuhusu kada wake ? Mbona Kipindi Wema Sepetu alipokatwa alipata full support ya chama tena alikuwa bado hajajiunga na CDM?
Au Yericko alikuwa akijipendekeza ndani ya Chama wakati Chama kilikuwa hakina mpango nae na kuamua kumuacha hali iliyosababisha kukosa misimamo.

By the way...JAH will find out the way.
Chama kumuwekea wakili mahiri Peter Kibatala ni msimamo tosha.
actions speak louder than words.
 
Chadema Wako wapi kutoa tamko kuhusu kada wake ? Mbona Kipindi Wema Sepetu alipokatwa alipata full support ya chama tena alikuwa bado hajajiunga na CDM?
Au Yericko alikuwa akijipendekeza ndani ya Chama wakati Chama kilikuwa hakina mpango nae na kuamua kumuacha hali iliyosababisha kukosa misimamo.

By the way...JAH will find out the way.
Chadema wanaangalia mtu usoni kabla ya kumsaidia.Yerico ni mpiga kelele tu hana impact yoyote kwa sasa kwenye kile kigenge cha chadema
 
Wacha Asote si hataki Kukaa Uraiani

We hujiulizi Kwanini Mimi na wewe hatujakamatwa na hatujawahi Kukamatwa?

Mchuma Janga hula na Wakwao.
Peleka kwenu ujinga wako ikiwa haujakamatwa ni wewe tu ila nakuombea likupate jambo zito ambalo hautalisahau ameen
 
Back
Top Bottom