Yeriko Nyerere aendelea kusota rumande

Yeriko Nyerere aendelea kusota rumande

Yericko aliwai kuanzisha shindano la kutweet kwa kiswahili, akajifanya atakua anatoa zawadi kila mwezi, akaingia mitini na zawadi.. Ndio mana Chadema hawamuamini ata kidogo
 
Hicho kimbilikimo kwanini kisigongwe hata mvua 15 akili zikakaa sawa, ni tapeli wa hali ya juu. Tapeli mpaka anafikia hatua ya kukataa jina la baba yake, anatumia jina Nyerere kutapeli nyumbx Wasiojielewa
nilisoma juzi kwenye gazeti mkude wa simba anasema eti ni mjukuu wa nyerere . kuna nyerere iringa?
 
nilisoma juzi kwenye gazeti mkude wa simba anasema eti ni mjukuu wa nyerere . kuna nyerere iringa?
Huyo ni type za kina Msigwa tena cha iringa na baba yake anaitwa Msambila masikini tu kama wazazi wetu, badala ya kufanya kazi halali awasaidie wazazi wake, kimekuwa kinajichomeka chomeka kwenye porojo za siasa ambazo hata Clinton Mhowe au hata Fred Lowassa hawezi kufanya. Hakina undugu na Nyerere hata wa ku GOOGLE
 
Wacha Asote si hataki Kukaa Uraiani

We hujiulizi Kwanini Mimi na wewe hatujakamatwa na hatujawahi Kukamatwa?

Mchuma Janga hula na Wakwao.
Vijana wa ccm ni ruksa kutukana.ndio maana hamkamatwi.
 
Chadema Wako wapi kutoa tamko kuhusu kada wake ? Mbona Kipindi Wema Sepetu alipokatwa alipata full support ya chama tena alikuwa bado hajajiunga na CDM?
Au Yericko alikuwa akijipendekeza ndani ya Chama wakati Chama kilikuwa hakina mpango nae na kuamua kumuacha hali iliyosababisha kukosa misimamo.

By the way...JAH will find out the way.
Moshi msibani
 
Back
Top Bottom