Yeriko Nyerere aendelea kusota rumande

Yeriko Nyerere aendelea kusota rumande

kiherehere sana ana kiwaruwaru kisicho na faida .ona mkewe anavoteseka sasa
Yericko nyeyere anaoa akili kubwa mwenzake wew hawezi kukuoa..NEEMA wake anamtosha (C&P) from JF. We jike la hovyo kabisa, sidhani kama hata kuna lolote . Kama huoni anachokitetea yeriko basi huna la maana kama mwanamke. Kama una mme/hawala etc all are very unfortunate!
 
Yericko nyeyere anaoa akili kubwa mwenzake wew hawezi kukuoa..NEEMA wake anamtosha (C&P) from JF. We jike la hovyo kabisa, sidhani kama hata kuna lolote . Kama huoni anachokitetea yeriko basi huna la maana kama mwanamke. Kama una mme/hawala etc all are very unfortunate!
i don care
 
Wacha Asote si hataki Kukaa Uraiani
Alafu leo unataka sisi tupaze sauti kuwakemea wanaotuibia mchanga huku umejisahaulisha walioshiriki kuiba ni sisi wenyewe kwa kuwa tumepishana kimaslahi.... Upo serious kweli?
 
Hivi Yerico Nyerere aliwakosea nini hawa wadada wiwili? Nahisi kuna kitu aliwauzi sio bure. Poleni sana wapendwa kama kuna kitu aliwakera. Msameheni bure.
Nifah Miss Natafuta
 
ahhaaa nifah alisemaje?
Nifah jana baada ya uzi wa Yerico kuweka alisema maneno makali sana, hadi akifikia kusema ikiwezekana Mungu amuweke mahala pema peponi Yerico!!! Baada ya wana JF wengi kumuuliza kulikoni hadi kumuombea wenzie atangulie mbele za haki alisema kuwa kwa sie tusiomjua Yerico ndio tunamhurumia lakini Yerico ni ndumilakuwili....
 
Nifah jana baada ya uzi wa Yerico kuweka alisema maneno makali sana, hadi akifikia kusema ikiwezekana Mungu amuweke mahala pema peponi Yerico!!! Baada ya wana JF wengi kumuuliza kulikoni hadi kumuombea wenzie atangulie mbele za haki alisema kuwa kwa sie tusiomjua Yerico ndio tunamhurumia lakini Yerico ni ndumilakuwili....
ahaaaaa khaaa namuonea sana huruma mke wake. naitaji ushauri wa kisaikolojia .
 
ahhaaa nifah alisemaje?
IMG_20170531_103012_888.JPG
IMG_20170531_102941_323.JPG
 
Chadema Wako wapi kutoa tamko kuhusu kada wake ? Mbona Kipindi Wema Sepetu alipokatwa alipata full support ya chama tena alikuwa bado hajajiunga na CDM?
Au Yericko alikuwa akijipendekeza ndani ya Chama wakati Chama kilikuwa hakina mpango nae na kuamua kumuacha hali iliyosababisha kukosa misimamo.

By the way...JAH will find out the way.
We ndiyo unajua hilo
 
Back
Top Bottom