Yericko Nyerere ni nani?

Yericko Nyerere ni nani?

Ni bwamdogo mmoja anayejifanya kachero na jasusi wa kimataifa...kwa kuongezea tu, juzi juzi hapo alikuwa ana post ulabu wa ajabu, kwa kutumia Cyber Crime Law, wakuu wakaamua kumuadabisha...Sasahivi adabu mbele
Pia ni mfanya biashara maarufu na Ni jasusi aliyesomea Urusi.... Teh Teh
 
ni mwandishi wa kitabu cha UJASUSI WA DOLA NA KIUCHUMI
 
Yericko ni NYUMBU mmoja hivi CDM wamemtumia alafu wakamtema kama bigijii
Huu ni wivu wa kike. Itasikitisha sana kama mlio andika ni midume.
Ni Nyumbu mmoja anae ishi kwa kutumika kisiasa
Niki geugeu mmoja hodari sana
usije amini kila anacho kisema
kwani kesho hugeukia upande uleule alio usema kama shetani jana
 
Nimeamua kubadili ID, subirini baada ya muda mfupi nitakuja hapa kuwajulisha kwa nini natumia ubini wa NYERERE!!
 
Yericko ni mwanaharakati makini Tanzania na East and Central Africa kwa ujumla nimemjulia JF anyway ila he is great thinker in real fact.Najua magamba itawauma manake huwa anawakimbiza Wazee buku saba mpk wanaomba poooo!big up Yericko
 
Yericko...kwasababau ni mwana chadema angalau namuona mwenye akili namstahi
 
Yeriko ni mwandishi wa habari binafsi nimekuwa nikisoma makala zake magazetini kama mchambizi wa masuala mbalimbali
 
Back
Top Bottom