Mh! Chadema sidhani kama watampa hata senti, wao wanachojua ni kugombea maiti tu.
Mbona unakazana kuchangia mwenyewe.Unaogopa thread inaelekea kudoda?haya kamwambie mkeo leo umeanzisha thread.Mpk sasa kaishakula makofi km mia nane.
Too late kaka.
Teh teh teh
Yericho Ni shujaaaaa
aliandika mambo ya kweli....uogo ni upi alio uwandika?
Where is freedom of speech
Tundu Lisu amewahi kumuonya huyu dogo ....kiukweli pamoja na kushiriki kikamilifu kutetea hoja zake nyingi kipindi ninaunga mkono harakati za ukombozi kupitia Chadema lakini uzushi mwingine haujengi ...sometimes unahitaji busara ya kuchagua cha kuandika ....
Ona kipindi kile wakati Lowasa yupo ccm
Umesikia wapi hayo?Nasikia chama kimemtelekeza?
Inadaiwa, alichapisha taarifa za uongo kupitia mtandao huo kuwa, ?siku ya leo mpaka siku ya kuapishwa Lowassa, taifa halihitaji amani, bali taifa hili linahitaji haki tu, amani ilishatoweka siku nyingi, kilichobaki ni uvumilivu tu?, njia sahihi ya kulitibu taifa hili ni kwa dola dhalimu kutenda haki hata kama itawauma?.
Kweli maana akiponea tundu la sindano ni mwaka mmoja jela...Hii kesi ngumu sana inabidi wafuasi wa Chadema wamchangie pesa apate wakili mzuri zaidi ya hapo anaenda jela.
Mpk sasa kaishakula makofi km mia nane.
Too late kaka.
Teh teh teh
Niliwahi kumuonya humu JF mara nyingi kuhusu uongo anaozua hakunielewa.
Umesikia wapi hayo?
Nisikilize mimi sasa, ninao mawakili wasomi wazuri wakiongozwa na Kamanda Peter Kibatala na Fred Kiwelu.