barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,405
- 29,802
Yericho Ni shujaaaaa
Endeleeni kumpa sifa za kinafki humu mitandaoni, yakimkuta kama sasa mnakula kona! Naye atakuwa kajifunza.
Yericho Ni shujaaaaa
Waende kona Tundu lissu kumsaidia!
Waende kona nani na nani!
Na kwanini iwe kona!
Hapa ni miaka 5 kwa uchache.
Hakuna tena kumsikia huyu mtoto akitukana Serikali kila siku.
Wananchi lzm wajue Hii nchi ina sheria.
Huwezi kuja Ktk Majukwaa ukatukana Rais na Viongozi wote kisa umepewa uhuru wa kuongea.
Hii IWE FUNDISHO HATA HAPA Jf.
Kesi Nyepesi angewekewa Dhamana ya Milion 5 na mdhamini mwenye mali isio hamishika?
Nyie kaeni tayari kusikia Anakula miaka si chini ya 6 jela.
acha kupayuka na kujifanya hakimu!ebu kwa kuanza isome sheria husika and then itafuta charge sheet!ukitoka hapo tafuta vifungu vyote alvyo vivunja yeriko na defences zake na jinsi ya kuvizunguka!
acha kudanyanya watu hapa!ebu wafwate wanasheria wakusaidie...narudia tena:KESI RAHISI,ANASHINDA AND THEN ITARAHISISHA MASHAURI MENGNE YAFANANA NAYO NA HILI KUAMRIWA VZURI KWANI HUKUMU YA ITATUPA "PRECEDENT"!
watu wanaweka bond tillioni moja,sembuse twumilioni!halafu ushaanza kuhukumu,na ww ni popo la mahakimu nn?ahahaha!no is quilty before the court,until the court says otherwise...tulia nyerere awanyooshe!
Waende kona nani na nani!
Na kwanini iwe kona!
Hapa ni miaka 5 kwa uchache.
Hakuna tena kumsikia huyu mtoto akitukana Serikali kila siku.
Wananchi lzm wajue Hii nchi ina sheria.
Huwezi kuja Ktk Majukwaa ukatukana Rais na Viongozi wote kisa umepewa uhuru wa kuongea.
Hii IWE FUNDISHO HATA HAPA Jf.
We lalama usiku mchana lkn huyu mtoto ataeleza hayo madai na kashfa zake.
Asipoleta Ushahidi wa Madai yake LZM AENDE KUCHEZEA mikojo Keko.
Hio kubali kataa.
Nilitype fasta bila kuhariri, 'kona' nilimaanisha 'kina', na comment yangu ilikuwa ya utani zaidi, huyu jamaa anahitaji akapewe somo la nidhamu kwanza na utii wa sheria!
Not such a thing as "quilty"!
Its Guilty young man.
And this boy is going for a ride soon.
Watch this space.
Na wewe itabidi Uchunguzwe.
Endelea Kuropoka tu.
aliandika mambo ya kweli....uogo ni upi alio uwandika?
Kesi ya kisiasa za kiCCM utaona washtaki watakavyoomba poo. Anajitetea mwenyewe hahitaji hata mchango wako wa huruma. Nenda kachochee kuni ziteketee tu ziwe majivu maana mmezoea kuumbukaHii kesi ngumu sana inabidi wafuasi wa Chadema wamchangie pesa apate wakili mzuri zaidi ya hapo anaenda jela.
pole wee,jamhuri haina vithibitisho vya uhakika kumfunga,ndio maana kesi inapgwa tarehe kila siku!cha kuchekesha akaunti zote za social networks wanazo,ila until today bado wana mbwela2!kesi ya kisiasa hii,wala haimuumizi kichwa yeriko,we tulia uone chezo lnavyokwenda!
Sawa mwanasheria Wa jf Mr Kimba
yericko aint goin' nowhere sonny,n' for yo information yericko gonna *** out this fuckin case,nice and easy n' if yo hatin' on yericko,go and lick some limaoz!ahahaha!
and nobody gonna pinch me for standing up to justice!