Yericko Nyerere kizimbani

Yericko Nyerere kizimbani

Tundu Lisu amewahi kumuonya huyu dogo ....kiukweli pamoja na kushiriki kikamilifu kutetea hoja zake nyingi kipindi ninaunga mkono harakati za ukombozi kupitia Chadema lakini uzushi mwingine haujengi ...sometimes unahitaji busara ya kuchagua cha kuandika ....
 
Mpk sasa kaishakula makofi km mia nane.
Too late kaka.
Teh teh teh
Mbona unakazana kuchangia mwenyewe.Unaogopa thread inaelekea kudoda?haya kamwambie mkeo leo umeanzisha thread.
 
Niliwahi kumuonya humu JF mara nyingi kuhusu uongo anaozua hakunielewa.
 
Dogo wamemtosa vibaya khaa kiherehere choootee kile kama kuku mwenye yai anaumbuka hivihivi
 
Tundu Lisu amewahi kumuonya huyu dogo ....kiukweli pamoja na kushiriki kikamilifu kutetea hoja zake nyingi kipindi ninaunga mkono harakati za ukombozi kupitia Chadema lakini uzushi mwingine haujengi ...sometimes unahitaji busara ya kuchagua cha kuandika ....

Ona kipindi kile wakati Lowasa yupo ccm
 

Attachments

  • 1450412909985.jpg
    1450412909985.jpg
    32.9 KB · Views: 513
Hizi kesi za kuungaunga zinapoteza muda bure wa polisi na mahakama zetu.

Hivi vyombo vingeweza kutumia muda huo kushughulikia mambo/kesi zenye tija zaidi kwa taifa badala ya kupoteza muda kwa vitu trivial kama hivi. Sidhani kama vijikesi kama hivi vinaendana falsafa ya "hapa kazi tu"!

Inadaiwa, alichapisha taarifa za uongo kupitia mtandao huo kuwa, ?siku ya leo mpaka siku ya kuapishwa Lowassa, taifa halihitaji amani, bali taifa hili linahitaji haki tu, amani ilishatoweka siku nyingi, kilichobaki ni uvumilivu tu?, njia sahihi ya kulitibu taifa hili ni kwa dola dhalimu kutenda haki hata kama itawauma?.

IGP Mangu kaa chonjo, Dr Hosea wa TAKUKURU amekwishapata hukumu yake. Naona ujambazi unashika kasi.
 
Hii kesi ngumu sana inabidi wafuasi wa Chadema wamchangie pesa apate wakili mzuri zaidi ya hapo anaenda jela.
Kweli maana akiponea tundu la sindano ni mwaka mmoja jela...
 
Back
Top Bottom