PAPAA JIWE
JF-Expert Member
- May 12, 2014
- 866
- 151
Katika hali iliyotarajiwa, Bwana Yericko Nyerere a.k.a nitoke vipi, amebwagwa chini katika uchaguzi uliofanyika leo.
Nafasi aliyokuwa anawania ni ya ujumbe-mkutano mkuu Taifa na ameambulia kura 48, akipitwa na Rwekaza mwenye kura 69.
Akijitetea katika kuanguka, Yericko alisema hajulikani na hakupiga kampeni. Lakini kimsingi alipishana na Dr. Slaa baada ya kumtuhumu kuporomoka.
Pole Yericko.
Nafasi aliyokuwa anawania ni ya ujumbe-mkutano mkuu Taifa na ameambulia kura 48, akipitwa na Rwekaza mwenye kura 69.
Akijitetea katika kuanguka, Yericko alisema hajulikani na hakupiga kampeni. Lakini kimsingi alipishana na Dr. Slaa baada ya kumtuhumu kuporomoka.
Pole Yericko.