Deo Corleone
JF-Expert Member
- Jun 29, 2011
- 17,038
- 13,467
Kuna vingine vingi tu anaviweza, ila huwezi kumruhusu akujaribie!
Wewe alikujaribu na ulimruhusu na ukajua anaviweza?
Kuna vingine vingi tu anaviweza, ila huwezi kumruhusu akujaribie!
Hahahaha, anakaribishwa kwa mikono miwili. Njoo uonje demokrasia ya kweli, hakika utajilaumu kwa nn umepoteza wakati wako chdm
Unamkaribisha kwenye chama cha (chukua chako mapema) mnataka mkamuambukize urafi?.nakujilimbikizia rasilimali za uma.ziwe za kwenu mmoja mmoja binafsi na watoto zenu. Acheni uvivu.
Ni sababu zipi zilizokufanya usifanye kampeni? Na Ni kwa nini hujurikani Kigamboni ila mimi wa Kimanzichana nakujuwa?Pamoja na kuwa umeileta taarifa hii hapa, lakini umeileta kwa malengo yako na kuingiza maneno ambayo sikuyasema ama hayapo kabisa,
Baaada ya uchaguzi kuisha, niliwaambia hivi makutano.
Naomba niwasalimie waungana kwenye Uzi huu..,baada ya salamu na naendelea na kuperuzi kwenye thread nyingine...!!!
Kweli kabisa mkuu ni kupoteza sana muda kule, bt hajachelewa unaambiwa mjinga ni kwenda tu!Hahahaha, anakaribishwa kwa mikono miwili. Njoo uonje demokrasia ya kweli, hakika utajilaumu kwa nn umepoteza wakati wako chdm
Pamoja na kuwa umeileta taarifa hii hapa, lakini umeileta kwa malengo yako na kuingiza maneno ambayo sikuyasema ama hayapo kabisa,
Baaada ya uchaguzi kuisha, niliwaambia hivi makutano.
CDM ina wenyewe, wewe nafasi ya uongozi iko ACT