Yericko Nyerere ashindwa Uchaguzi CHADEMA

Yericko Nyerere ashindwa Uchaguzi CHADEMA

Status
Not open for further replies.
Jamani wana JF na Watanzania wote tukae mkao kula tukimsubiri Kamanda shupavu Yericko Nyerere kwa update kutoka kwake..
 
Last edited by a moderator:
Chadema kimejaa wanafiki, humu wanamssuport lakini kwenye box wanamuangusha, no wonder CCM inaendelea kushinda...na bado mtalalamika sana
 
Mtafutieni nafasi nyingine ya kupatia posho ili mkono uende kinywani.

Vinginevyo atahamia ACT.

Mbona Mang'ula Philip aligombea uenyekiti wa mkoa CCM Njombe akaanguka na baadae kaukwaa umakamu mwenyekiti Taifa na kuwa bosi wa huyo mwenyekiti aliyemshinda huko Njombe? Uchaguzi ni kushinda au kushindwa. Ndio kawaida na harakati za kisiasa zinaendelea.
Natumaini kwa kushindwa huku hakutamtoa Yericko katika kutumwagia nondo hapa JF zinazowanyima usingizi maccm na wale watoto wao wa kambo ACT.


Sent from my iPad using JamiiForums
 
Chadema kimejaa wanafiki, humu wanamssuport lakini kwenye box wanamuangusha, no wonder CCM inaendelea kushinda...na bado mtalalamika sana

Wewe unadhani kila Mtanzania ni member wa JF? Hiyo stroke imepiga upande mmoja wa kichwa na akili ku paralize?


Sent from my iPad using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Hadi huruma aisee,,pole sana mkuu karibu kwenye chama baba Lao CCM maana huko Saccoss sasa hivi watakuita Msaliti kisa umepishana kauli na padri mzinzi


Sent from my iPad Air using JamiiForums
 
Naomba niwasalimie waungana kwenye Uzi huu..,baada ya salamu na naendelea na kuperuzi kwenye thread nyingine...!!!
 
Hii ni nzuri sana kwa maana ya CHADEMA kuna democrasia na siyo kupangana kama nyange nyange. Pia kushindwa ni jambo la kawaida sana japo ushindi ni mtamu Nyerere wewe ni mpiganaji hata kama umeshinndwa jambo la muhimu ni kuwa mwanademocrasia na kuyashinda mabavu na hasra za LUMUMBA kubali na sahau endelea kujenga chaguo la watanzania wengi CHADEMA. Hekma, ufahamu, busara na akiri vinaitajika kwako sasa ili kuilinda democrasia ndani ya chama.
 
Acheni kumtumia Yericko kama KARAI.

Mbona Mang'ula Philip
aligombea uenyekiti wa mkoa CCM Njombe akaanguka na baadae kaukwaa
umakamu mwenyekiti Taifa na kuwa bosi wa huyo mwenyekiti aliyemshinda
huko Njombe? Uchaguzi ni kushinda au kushindwa. Ndio kawaida na harakati
za kisiasa zinaendelea.
Natumaini kwa kushindwa huku hakutamtoa Yericko katika kutumwagia nondo
hapa JF zinazowanyima usingizi maccm na wale watoto wao wa kambo ACT.


Sent from my iPad using JamiiForums
 
yericko pamoja na kujipendekeza bado anatoswa..kweli chadema ina wenyewe
 
Kuna kushinda na kushindwa,yote matokeo!

Angeshinda/ameshindwa moja yonte yangeleta uzi humu JF.
 
Yericko kazi yake ni moja tu basi, UDAKU...Leo hii kaibuka na propaganda kwamba CCM wako kwenye kikao kwa ajili ya kujadili namna ya kulivunja Bunge la Katiba bila kuathiri taasisi yao...Huyu jamaa ni KIZABINABINA aliyekubuhu.
 
Katika hali iliyotarajiwa, Bwana Yericko Nyerere a.k.a nitoke vipi, amebwagwa chini katika uchaguzi uliofanyika leo.

Nafasi aliyokuwa anawania ni ya ujumbe-mkutano mkuu Taifa na ameambulia kura 48, akipitwa na Rwekaza mwenye kura 69.

Akijitetea katika kuanguka, Yericko alisema hajulikani na hakupiga kampeni. Lakini kimsingi alipishana na Dr. Slaa baada ya kumtuhumu kuporomoka.

Pole Yericko.

Yericko ni jembe la chadema


Sent from my iPad using JamiiForums
 
Katika hali iliyotarajiwa, Bwana Yericko Nyerere a.k.a nitoke vipi, amebwagwa chini katika uchaguzi uliofanyika leo.

Nafasi aliyokuwa anawania ni ya ujumbe-mkutano mkuu Taifa na ameambulia kura 48, akipitwa na Rwekaza mwenye kura 69.

Akijitetea katika kuanguka, Yericko alisema hajulikani na hakupiga kampeni. Lakini kimsingi alipishana na Dr. Slaa baada ya kumtuhumu kuporomoka.

Pole Yericko.

hii ni taarifa, thanks and that is the democracy, na ndio maana tuanjipambanua kama chama cha democrasia na Maendeleo
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom