Annie X6
JF-Expert Member
- Mar 16, 2023
- 405
- 751
Mapendekezo yamesambaa kila kona. Ni mpuuz pekee atasapoti kufuta somo la uraia na general studies
Kuona mwalimu mwenye degree anajua kuliko mwenye diploma katika level za sekondari ni mjinga pekee atakuelewa. Awali sheria ilimtaka mwenye degree afundishe 3 to 4, diploma 1 na 2 ilikuwa bora.
Elimu ya Tanzania haitakuja kuendelea kutokana na kugeuzwageuzwa.
Kuona mwalimu mwenye degree anajua kuliko mwenye diploma katika level za sekondari ni mjinga pekee atakuelewa. Awali sheria ilimtaka mwenye degree afundishe 3 to 4, diploma 1 na 2 ilikuwa bora.
Elimu ya Tanzania haitakuja kuendelea kutokana na kugeuzwageuzwa.