Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 43,906
- 150,217
KabisaNo way out ..tupo duniani...dunian mapambano
KabisaNo way out ..tupo duniani...dunian mapambano
Kabla ya show p2 haihusiki...P2 inahusika kuzuia mbegu zako zikiingia zisitunge yai....zibaki kuzurura huko zikichoka zinatoka zenyewe.Jiongopee tu! Kuna wengine tuna sperm kama bugatti 😅 bora mtu anywege kabla ya show😅
Mpenzi yeye alifanya tendo ucku wa kuamkia Jana kwahiyo Jana ndio kameza kimoja mchana chapili alikuwa anameza saa tisa ucku kajisahau kashtuka saa 12 alfajiri akameza kwahiyo hapo kapitisha masaa Kama mawili nasehemu ndio kameza kidonge cha pili au arudie dozi ingine????P2 hata ukiduu Leo ukameza kesho kutwa zinafanya kaz
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 mtajua hamjuiMpenzi yeye alifanya tendo ucku wa kuamkia Jana kwahiyo Jana ndio kameza kimoja mchana chapili alikuwa anameza saa tisa ucku kajisahau kashtuka saa 12 alfajiri akameza kwahiyo hapo kapitisha masaa Kama mawili nasehemu ndio kameza kidonge cha pili au arudie dozi ingine????
Cha kwanza tu kilishamsaidia tayari...yaan wala asijitie hofu.Ila kama ana mawazo ya kuzaa mbeleni ...P2 at least Mara 2 kwa mwaka.Mara kwa Mara zaunguza mayai utakapotaka mtoto utashika wachawi kumbe mwanga mwenyeweMpenzi yeye alifanya tendo ucku wa kuamkia Jana kwahiyo Jana ndio kameza kimoja mchana chapili alikuwa anameza saa tisa ucku kajisahau kashtuka saa 12 alfajiri akameza kwahiyo hapo kapitisha masaa Kama mawili nasehemu ndio kameza kidonge cha pili au arudie dozi ingine????
Ha haa,jamaa we mkorofi aisee🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 mtajua hamjui
Unajitahid kumfariji...mwambie ukweliCha kwanza tu kilishamsaidia tayari...yaan wala asijitie hofu.Ila kama ana mawazo ya kuzaa mbeleni ...P2 at least Mara 2 kwa mwaka.Mara kwa Mara zaunguza mayai utakapotaka mtoto utashika wachawi kumbe mwanga mwenyewe
Inaonesha wewe ni expert level wa hizo shughuli😅Kabla ya show p2 haihusiki...P2 inahusika kuzuia mbegu zako zikiingia zisitunge yai....zibaki kuzurura huko zikichoka zinatoka zenyewe.
Ukweli ni kwamba amepona mkuuUnajitahid kumfariji...mwambie ukweli
🤣🤣🤣🤣 kwani rough rider hawapendi kuzitumia kama wanaogopa hiviUkweli ni kwamba amepona mkuu
Hajawahi tumia ndio mara ya kwanza asanteee mpenzi nashukuru kwa ushauri wako mzuri MUNGU AZIDI KUWA NAWE.Cha kwanza tu kilishamsaidia tayari...yaan wala asijitie hofu.Ila kama ana mawazo ya kuzaa mbeleni ...P2 at least Mara 2 kwa mwaka.Mara kwa Mara zaunguza mayai utakapotaka mtoto utashika wachawi kumbe mwanga mwenyewe
Yeah,,,coz nafanya kwa nadra so ndo uzazi wangu wa mpango kaka tangu ujana wangu mpaka uzee huu na nimejaaliwa watoto wawiliInaonesha wewe ni expert level wa hizo shughuli😅
Jipe moyo...subiria wiki mbele baadaeHajawahi tumia ndio mara ya kwanza asanteee mpenzi nashukuru kwa ushauri wako mzuri MUNGU AZIDI KUWA NAWE.
Yani miaka 30 ushajiita mzee? 😅 Hebu acheni matumizi mabaya ya hilo nenoYeah,,,coz nafanya kwa nadra so ndo uzazi wangu wa mpango kaka tangu ujana wangu mpaka uzee huu na nimejaaliwa watoto wawili
Na ni waoga hataree🤣🤣🤣🤣 kwani rough rider hawapendi kuzitumia kama wanaogopa hivi
Subir ajifungue mtoto kipande, kama unaogopa mimba afanye ngono salamaHabari doctor's wa jf,naomba kuuliza Jana saa tisa mchana dada ametumia dawa ya p2 akaambiwa baada ya masaa kumi na mbili atumie kingine maana aliambiwa ameze kimoja kimoja, kwahiyo alipomeza kimoja hiyo Jana mchana saa tisa ilitakuwa ameze kingine saa tisa ucku,Sasa kajikuta kachelewa kashtuka saa kumi na mbili alfajiri ndio kameza cha pili jeeee kunatatizo lolote hapo??? Au dawa haitafanya kazi inavyotakiwa??? Naomba msaada wapendwa wa jf