To yeye
JF-Expert Member
- May 30, 2016
- 20,173
- 37,700
Sipo under 30 mkuuYani miaka 30 ushajiita mzee? 😅 Hebu acheni matumizi mabaya ya hilo neno
Sipo under 30 mkuuYani miaka 30 ushajiita mzee? 😅 Hebu acheni matumizi mabaya ya hilo neno
Karibu mkuuNaona ekpati mwenyewe katoa muongozo hapa
naomba kuuliza Jana saa tisa mchana dada ametumia dawa ya p2 akaambiwa baada ya masaa kumi na mbili atumie kingine maana aliambiwa ameze kimoja kimoja
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
- Pamija na majibu mzazuri ya wachangiaji hapo juu.
- Msisitize asome hii makala: Story of Change - Madhara ya P2 (njia 15 bora za kuzuia mimba/uzazi wa mpango)
- Ili atambue njia mbadala za kujikinga dhidi ya mimba/magonjwa.
Mhusika ni dada au wwHabari doctor's wa jf,naomba kuuliza Jana saa tisa mchana dada ametumia dawa ya p2 akaambiwa baada ya masaa kumi na mbili atumie kingine maana aliambiwa ameze kimoja kimoja, kwahiyo alipomeza kimoja hiyo Jana mchana saa tisa ilitakuwa ameze kingine saa tisa ucku,Sasa kajikuta kachelewa kashtuka saa kumi na mbili alfajiri ndio kameza cha pili jeeee kunatatizo lolote hapo??? Au dawa haitafanya kazi inavyotakiwa??? Naomba msaada wapendwa wa jf
Kuna wadada nawaambiaga hii hawanielewagi! P2 atleast imyweke mara2 kwa mwaka ndio mana ni Emergency contraceptive pillsCha kwanza tu kilishamsaidia tayari...yaan wala asijitie hofu.Ila kama ana mawazo ya kuzaa mbeleni ...P2 at least Mara 2 kwa mwaka.Mara kwa Mara zaunguza mayai utakapotaka mtoto utashika wachawi kumbe mwanga mwenyewe
Ni hatari sana.Inaunguza mayaiKuna wadada nawaambiaga hii hawanielewagi! P2 atleast imyweke mara2 kwa mwaka ndio mana ni Emergency contraceptive pills
Watu hawataki kufata kalenda wanabwia tu P2 na vile ni 5k mtu hata kama kableed jana Kafanya leo anakunywa.
P2 hata ukiduu Leo ukameza kesho kutwa zinafanya kaz
Me sio mdadaAfadhali Kuna kamdada kanajua kumpa mtu moyo lakini nyie wengine ni kiboko [emoji1787]