Yapi matumizi sahihi ya p2?

Yapi matumizi sahihi ya p2?

Jadit

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2019
Posts
273
Reaction score
212
Habari doctor's wa jf,naomba kuuliza Jana saa tisa mchana dada ametumia dawa ya p2 akaambiwa baada ya masaa kumi na mbili atumie kingine maana aliambiwa ameze kimoja kimoja.

kwahiyo alipomeza kimoja hiyo Jana mchana saa tisa ilitakuwa ameze kingine saa tisa ucku,Sasa kajikuta kachelewa kashtuka saa kumi na mbili alfajiri ndio kameza cha pili jeeee kunatatizo lolote hapo?

Au dawa haitafanya kazi inavyotakiwa??? Naomba msaada wapendwa wa jf
 
Back
Top Bottom