Yangu ya moyoni

Yangu ya moyoni

Nimefall vibaya mno kwa jamaa yan sisomeki kabisa
 
Hua najaribu kujiuliza kizembe

Hivi mtu unampenda mtu inakuwaje unakuja hapa hadharani?

PM hazipo?

Au ni uongo tu?

Mwishowe naona kama wote waliokuja hapa na kujidai eti wanawazimikia watu ni waongo tu

CC: Shenazi na wengineo .......!!!!!!!!!!!!!!!!!
Hii ni kwa ajili ya kuchangamsha jukwaa, sio kweli kwa hivyo
 
Kwako bwana utafiti,salam.,.. Lengo langu ni kukueleza yaliyo moyoni mwangu,nakupenda sana hadi najishangaa,nipo serious kabisa,nakupenda si utani ndo maana nimeamua kufunguka hadharani!I am Tanzanian lady,kama umeoa nipo tayari kua nyumba ndogo au spea tairi.
Wewe mrembo upo muwazi sana, wachache wanaweza fanya hivi
 
Hua najaribu kujiuliza kizembe

Hivi mtu unampenda mtu inakuwaje unakuja hapa hadharani?

PM hazipo?

Au ni uongo tu?

Mwishowe naona kama wote waliokuja hapa na kujidai eti wanawazimikia watu ni waongo tu

CC: Shenazi na wengineo .......!!!!!!!!!!!!!!!!!

PM ngumu kuaminika........

vipi wewe umeshawahi kufanikisha mission huko pm?
 
utafiti nyota imewaka,,,,,, njoo basi umjibu huyu mrembo jamani!!!!!
 
Last edited by a moderator:
Kwako bwana utafiti,salam.,.. Lengo langu ni kukueleza yaliyo moyoni mwangu,nakupenda sana hadi najishangaa,nipo serious kabisa,nakupenda si utani ndo maana nimeamua kufunguka hadharani!I am Tanzanian lady,kama umeoa nipo tayari kua nyumba ndogo au spea tairi.

kama bwana utafiti kaoa unasema uko radhi kuwa nyumba ndogo yake,sasa uko tayari kuharibu ndoa ya mwanamke mwenzako?au kama ndo ingekuwa wewe mwenye mume inakuwaje hapo?kama bwana utafiti hajaoa then go ahead
 
Back
Top Bottom