Huu ni uji.nga mkuu
Kama unampenda mtu hilo ni suala binafsi
Ndio maana wakaweka kitufe cha ujumbe binafsi [Private Massage]
Na imewekwa sheria mambo ya huko ni marufuku kuletwa hapa
Sasa inakuwaje mtu alete masuala binafsi hapa?
Si kutuzuga tu huko?
Dada hii ndio inaitwa bahati ya mtende?
mbona umekuwa mbogo, ulimzimikia ila ukawa domo zege halafu mwenziyo kajilambia kilaiiiniiiiiiiiiiiiii! aisee kukucd kama kuna mwingine kabakia basi? mi huwa sishangai kama vipi piga chini huyo utafiti mie tumalizane??????
Iko wapi?
Mae!
Mimi ndio sijaanzishiwa kathred ka kutakiwa!
Ngoja nikaongee na babu!
bado najikoki hapa kutoa la moyoni lazma maneno yawe matamu kama halua...
^^
Mmm Baba paroko, wali unawekea mchanga
^^
Sio matamu kama hiyo hapo?
Sio matamu kama hiyo hapo?
Baba Paroko, hueleweki, umemkatalia au umekubali, upo neutral
mambo mazuri hayataki haraka
afu kama unavojua huyu ni baba paroko lazma nimtembelee na speed ya 20
nikipiga 180 ataishia kunikemea
ndo huko nilikuwa naelekea...
Baba Paroko, hueleweki, umemkatalia au umekubali, upo neutral
cc Evelyn SaltKwani ameshasema?
Hua najaribu kujiuliza kizembe
Hivi mtu unampenda mtu inakuwaje unakuja hapa hadharani?
PM hazipo?
Au ni uongo tu?
Mwishowe naona kama wote waliokuja hapa na kujidai eti wanawazimikia watu ni waongo tu
CC: Shenazi na wengineo .......!!!!!!!!!!!!!!!!!