Yangu ya moyoni

Yangu ya moyoni

Hua najaribu kujiuliza kizembe

Hivi mtu unampenda mtu inakuwaje unakuja hapa hadharani?

PM hazipo?

Au ni uongo tu?

Mwishowe naona kama wote waliokuja hapa na kujidai eti wanawazimikia watu ni waongo tu

CC: Shenazi na wengineo .......!!!!!!!!!!!!!!!!!
Naomba mods waondoe kitufe cha PM maana hakina umuhimu sasa
 
Back
Top Bottom