Yanga vs Mbeya City Council LIVE Updates.

Yanga vs Mbeya City Council LIVE Updates.

Kevin Friday (from Under 20) anaipatia Azam FC goli la tatu
Azam FC 3-0 Kagera Sugar
 
MBM Radio wanatangaza sasa cjui inashika pote au kanda ya kati tuu.

Kanda ya kati tunaipata kwa 91.20
yawezekana ikawa ndio hii kwa dar nimeipata kwenye 98.50 fm ila naona kipindi cha pili wanapata shida kuunga matangazo uwanja wa taifa wanapiga bolingo tu sasa
mawasiliano yanaonekana sio..
 
atoe njano mpira uendelee vizuri..
kila kosa lina adhabu yake stahiki, mlishaanza kutoa sababu toka jana kuwa Manji kawapa hongo sasa mmehamia kwenye kadi, subirini timu ya wenye hii INJI wawakaribishe vijana Daslaaam.
 
Back
Top Bottom