Kevin Friday (from Under 20) anaipatia Azam FC goli la tatu
Azam FC 3-0 Kagera Sugar
msiangaikke na huyo ataharibu sherehee kwani mbeya wapo mbioni kusawazisha...Huyu jamaa mjinga sana nimeshampeleka kwa Mods tena ngoja niongezee kwa mtu mwingine.
@Maxence Mello.
Enock Bwigane yupo hewani?
Kuna matumaini yakurudisha goli?
Utasubiri sana kwani pumzi inacheza namba ngapi? lazima muwe wapole leo, mjitahidi msije poteza nafasi ya 3 isiyo na mwenyewe maana ya pili piga ua ni ya Azam ndio ubingwa wao unapoishia.
Na Baba_Enock pia yupo uwanjani - jukwaa la walilokaa mashabiki wa Mbeya City
ndio mawazo yako hayo nyie mfungeni ili nijue nikikufunga wewe nakuwa bingwa ndio unanirahisishia kazi sawa...SSB atakuwa kanunua hiyo mechi. Kagera si timu ya kupigwa 3, ni matokeo yenye mashaka.
kitendo cha Mbeya City kucheza pungufu.....ni advantage kwa Yanga SC kuibuka na ushindi leo...matumia ya goli kurudishwa ni mdogo mno ukizangatia kwamba na Hamis Kiiza yuko ndani ya nyumba akisaidiana na Ngassa ni presha tupu kwenye lango la Mbeya City.Kuna matumaini yakurudisha goli?
nakupendaa sana hasa hizi bistoHahahahaaa umemjibu vizuri sana. Mwache asubiri meli ubungo, wakati Yanga leo tunachukua point zetu 3.
hawa jamaa ni kuwasubiri dk za mwisho kabisa ndio tujue yanga kashinda au la maana hata hiyo red ni juhudi tu za kulinda point tatu..:dance::dance:kitendo cha Mbeya City kucheza pungufu.....ni advantage kwa Yanga SC kuibuka na ushindi leo...matumia ya goli kurudishwa ni mdogo mno ukizangatia kwamba na Hamis Kiiza yuko ndani ya nyumba akisaidiana na Ngassa ni presha tupu kwenye lango la Mbeya City.
jibu zuri la kukatishana tamaa...Ndiyo, mpira ni dakika 90.
kitendo cha mbeya city kucheza pungufu.....ni advantage kwa yanga sc kuibuka na ushindi leo...matumia ya goli kurudishwa ni mdogo mno ukizangatia kwamba na hamis kiiza yuko ndani ya nyumba akisaidiana na ngassa ni presha tupu kwenye lango la mbeya city.
nakupendaa sana hasa hizi bisto![]()