Makoye Matale
JF-Expert Member
- May 2, 2011
- 6,490
- 2,104
Yeya, M out.
hizi ni habar njema kwangkitendo cha Mbeya City kucheza pungufu.....ni advantage kwa Yanga SC kuibuka na ushindi leo...matumia ya goli kurudishwa ni mdogo mno ukizangatia kwamba na Hamis Kiiza yuko ndani ya nyumba akisaidiana na Ngassa ni presha tupu kwenye lango la Mbeya City.
Aliyepewa kadi nyekundu kaonewa au niharali yake?
usikonde mwaweza chomoa ila inaonekana hamkujua kuwa kuna kubebana kwenye soka la bongo..asante mkuu, pamoja sana.
Nasikia kuna goli nani kapigwa?
Kisa nini mpwa?Refa wenu kakataa
hiyo itakuwa ni goli ila kambiwa akiongeza tu yanarudi yote..Refa wenu kakataa
wana timu zao hao..Forward line ya Yanga bado, kocha awanoe vijana, tumekosa magoli mengi sana.
kocha anawachekea ndo maana wanakosa umakini....angekua Logas wa Simba baada ya mechi angewachapa makofi.Forward line ya Yanga bado, kocha awanoe vijana, tumekosa magoli mengi sana.
na msipoangalia mcc wakipata nafasi hata moja wanasawazisha.Forward line ya Yanga bado, kocha awanoe vijana, tumekosa magoli mengi sana.
umeona enheeee.....Ningekuwa mimi ningekuwa nimeshajipiga Pisto haki ya nani?!
na huko chamazi zishafika nne...na msipoangalia mcc wakipata nafasi hata moja wanasawazisha.