Yanga vs Mbeya City Council LIVE Updates.

Yanga vs Mbeya City Council LIVE Updates.

Mwigane yeya hatare goooooooo

Invisible hili jipu kila siku kwenye live updates huwa Linatuchanganya kwa kutoa taarifa za uongo, lifuatilie kwa karibu likiendelea kuzingua litumbue.
 
Last edited by a moderator:
Hapa mbeya watu wameyapotezea maccm wapo na timu yao pendwa mbeja city, ila mi hapana nipo na yanga
Nan anapenda kusikiliza majungu.heli yao hao walio jitambua na kuacha kusikiliza upuuzi huo.
 
Kagera Sugar na Mbeya City zile tabia zenu za kusawazisha ziishie kwa Simba tu hata kwa Yanga na Azam inawezekana.
 
Hawa Mbeya City na Kagera Sugar wanaelekea kuniangusha.
kagera kishakuangusha tatizo lipo kwa mbeya city huwa hawakati tamaa hata kidogo utasikia tu wamesawazisha ila kagera pole zake..
 
Invisible hili jipu kila siku kwenye live updates huwa Linatuchanganya kwa kutoa taarifa za uongo, lifuatilie kwa karibu likiendelea kuzingua litumbue.

Mkuu Katavi hakuna haja ya kumpeleka kwa Mods,huyuni mwehu kama wehu wengine tu humu!
 
Last edited by a moderator:
M City nitaiunga popote pale, ila siyo inavyocheza na Timu ya wananchi.
 
Mpira ni mapumziko, Young Africans 1 - 0 Mbeya City
 
Huyo Kavumbagu anasubiri nn kufanya mambo kama ya Uturuki
 
Back
Top Bottom