Amavubi
JF-Expert Member
- Dec 9, 2010
- 30,156
- 13,267
yeya, m out.
naona hili limekufurahisha sana
yeya, m out.
Matokeo ya lin unayo toa hayo?Dk 80 Mbeya 1-Yanga 0,wameshiba pilau la Nape hawa yanga
nashukuru kwa kunipa ubingwa kwani mki droo tu hali itakuwa ngu sana kwangu ila mfungeni mbeya city ili niwe bingwa vizuri..Kwa mwendo huu nafasi yenu ya pili lazima muitetee hakuna wa kuwanyang'anya.
Naona mnajikita kileleni zaidi.na huko chamazi zishafika nne...
Mpira umeisha?Mabao ni yale yale dk.91 na 3+
gooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo jabir aziz stima anaifungia azam fc goli la nne
azam fc 4-0 kagera sugar
chezea magoti fc ukilemaa tu unasahau kukaa juu..Naona mnajikita kileleni zaidi.
yanga nao mmenunua pia ila mlitoa hela kidogo ndio shida sasa ila ile red ndio mlipo maliza mchezo kabisaa....sold out.
chezea ubingwa wewe watakaa tu hao..
Mpira umeisha?
sasa bingwa rasmi ni azam fc msimu huu kazi nzuri sana mmefanya vijana wa uturuki..Bikira imetoka rasmi, kazi kwenu wengine, endeleeni kujipigia sasa.
Matokeo ya lin unayo toa hayo?
Yuko nyuma ya wakati siku zote, angalia jina lake tu eti OKW BOBAN SUNZU utapata jibu.
sasa bingwa rasmi ni azam fc msimu huu kazi nzuri sana mmefanya vijana wa uturuki..