Yanga vs Mbeya City Council LIVE Updates.

Yanga vs Mbeya City Council LIVE Updates.

mda mwingine mjiamini,msisafirie nyota za wenzenu

Sasa mbona umeweka matokeo yanayokera? Si vizuri Mkuu. Kuna Wakuu hawajafuatilia uzi wote wakiona post yako wataamini kuwa MCC imeshinda wakati siyo kweli. MCC kaacha doa jekundu katika shuka nyeupe, 'shangazi' yake Simba SC kashuhudia muziki wa Mwanaume Young Africans SC.
 
Vijana wa mbeya city wamejituma,
tusubili azam na Simba siku wakija sokoine tuwakalishe.

Hii nimeipenda. MCC kajipangeni muwakalishe hawa wakija huko Mbeya. Kila la heri MCC. Ubingwa wa Yanga uko mkononi mwa MCC, kwa kugawa 3 pts leo kisha kuwakalisha hao Simba na Azam bila shaka ubingwa utabaki jangwani.
 
Last edited by a moderator:
Sasa mbona umeweka matokeo yanayokera? Si vizuri Mkuu. Kuna Wakuu hawajafuatilia uzi wote wakiona post yako wataamini kuwa MCC imeshinda wakati siyo kweli. MCC kaacha doa jekundu katika shuka nyeupe, 'shangazi' yake Simba SC kashuhudia muziki wa Mwanaume Young Africans SC.

noted,japo mi sijawatuma kunisoma
 
Sasa nimegundua hakuna haja ya kusoma hizo zinazoitwa " live updates" kwani ni upuuzi mtupu!
Mimi ndiyo nimefungua hii thread nusu saa iliyopita sana sana nasoma unazi tu sijaelewa kabisa matokeo ya mwisho.
Ni vijembe, tambo na kejeli tu. Jamani wengine tuko nje ya mipaka na tunategemea sana kuhabarishwa na nyinyi wenzetu mlio nyumbani hususan Dar Es Salaam.
Mwenye matokeo rasmi ayaanike humu ili nasi tulio mbali tuelewe.
 
Mkuu mbwigule haya ni matokeo rasmi, Full Time:
Yanga 1-0 Mbeya City,
Azam 4-0 Kagera Sugar.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom