Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 76,359
- 108,503
Mwigane Yeya leo hana madhars
Hana sumu tena huyo...
Mwigane Yeya leo hana madhars
Achana na Mwigane Yeya, kuna mtu mmoja anaitwa Kipanga unamjua?Mwigane Yeya leo hana madhars
Tatizo yako imekaa jukwaa lisilo mkuu, watu tumezoea huku.Mkuu we mbinafsi sana yani umeona kuweka updates hapa utaonekana hujafanya kazi mpaka uanzishe thread nyingine?!
Mbona mnazianzishaga hapa mnaziiacha sisi tunaupdates?!
Acheni ubinafsi huo!
https://www.jamiiforums.com/habari-na-hoja-mchanganyiko/597706-live-updates-02-02-2014-yanga-vs-mbeya-city-4.html
Alikuwa anaitwa Seintfeit a.k.a mtakatifu tomHAWA MCC ndo walimfukuzisha yule kocha mwingine wa Yanga.
Wale walikuwa Prison na Mtibwa wakamkatia tiketi.Alikuwa anaitwa Seintfeit a.k.a mtakatifu tom
Alikuwa anaitwa Seintfeit a.k.a mtakatifu tom
Vipi matokeo wakuu?
DUH....! Ila tutarejea tu maana hawana pumzi hawa yanga.wapo wanashuhudia yanga ikifungwa..
![]()
dk 20 yanga 1 - 0 MCC Ngassa