acha hizo wewe.Mwigane yeya hatare goooooooo
Achana na Mwigane Yeya, kuna mtu mmoja anaitwa Kipanga unamjua?
kweli walikuwa prison wale.Wale walikuwa Prison na Mtibwa wakamkatia tiketi.
Mwigane yeya hatare goooooooo
....bora tuendelee kuiona Azam ikiwa kileleni. Siyo hao watalii wa Uturuki.Huku chamazi Brian Umony kashaweka kambani Azam FC 1-0 Kagera dk 11
mbeya city 4 yanga 2..mwisho wa mchezo..kutangulia c kufika..mchezo ndo kwanza mpyaa
ndaga fijo bhanafyale kambi yenu ya MWAKALELI safi sana si bagamoyo wala uturuki
DUH....! Ila tutarejea tu maana hawana pumzi hawa yanga.
Acha kuota mchana amka wewe sio usiku huu.
....bora tuendelee kuiona Azam ikiwa kileleni. Siyo hao watalii wa Uturuki.
kweli walikuwa prison wale.